DUNIA (EP 08)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Leo huyu mlevi ameongeya kitu cha kueleweka kabisa wewe tajiri na malizako mlevi na mkewe mapenzi yao mazuri sana ❤❤❤

AshaMbeyu
Автор

Mood umeniliza mzee kwa maneno ya hisia 😭😭😭😭 hapo ndo 2najifunza maneno ya upole ni vyema zaidi ya hasira coz yamemuingia sana mwamba hadi kajiona kama piliton 2 ingalikuwa mood angekuja kwa ugomvi huwenda hata angepigwa, , , , TULIO JIFUNZA KITU WEKA LIKE 👍 hapo

BOBOTz..
Автор

Mudy umetisha sana kiukwel mnajua sana mtafika mbali hii movie ya dunia ni kali sana

papichulo
Автор

Mmh watu mnajitahd kushinda mtandaoni duh like moj bs hat km nimechelewa

MaggyLeonard
Автор

Nakubali madam vaileth pamoja na manyanya kwa kazi nzuri 🎉 mnayoifanya big up all them

FOCUSWICKSON-yiwl
Автор

Hii tamthiliya ni nzuri mno jaman wadau tumalize mwaka na hii Dunia ina mengi sana...
Kama wew uko kama jordan ulidhan kitonga kumbe ngoma ngumu. gonga like

isayamwanjoka
Автор

manyanya is Ging of this move n nje ya hii, namuona kama kanumba wakesho !!hongela sana mr manyanya🎉

didamseto
Автор

Leo chapombe kaongea point jaman uwiiii, good job next pleaz

VictoriaNkole
Автор

Mudi kwenye hii episode ameongea point za kiume na za maisha salute sana Kwa chapombe MUDI

Samssoa
Автор

Natamani ata niwape zawadi kwa kazi hii kiukweli series iyi ni kali sana
Big up @ASMAFILMS

espoirbanza-bk
Автор

Leo nimekuwa wa 60, kwa comment please naomba Comment za kuwapa nguvu team Dunia hili ni bonge la Series🎉🎉🎉🎉❤❤❤ em like ziwe nyingi ❤❤

KibweOnlineTv
Автор

Wanaosikitishwa na mood kma mm nipeni like basi 😭😭😭pole mood

AminaMjeni-izuo
Автор

Daah hii movie na ikubali sana matyrda na kancy ni warembo sana ❤❤❤ from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩💥💥

DekelvaSoujaboy-mbps
Автор

Kama unamuelewa manyanya na point zake za maana kabisa gonga like tuondoke

dalalimwalimufurnitures
Автор

Wa tanzania wanapenda sana kufundisha uchawi kwa watu. Ila iyi movie inakuwa ya mawazo halisi ya maisha. 💪🇨🇩💪

KigunduJean
Автор

I hope sjachelewaaa mzur Manyanya tuko pamoj❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

NajimaShabani
Автор

Dah jamani sijui hii muvi nimeelewa mm tu dah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hayo mauwa ni ya kwako mwenye muvi na watazamaji wenzangu 😂❤❤❤❤❤❤

iddyselemani
Автор

Kwa kazi iyi na farijika sana
Na penda ili kabisa 😂😂😂❤❤
Mungu awa saidiye kabisa

AntoineKika-xr
Автор

Mudi 🎉🎉 umeongea mpaka nimeumia binafsi

Garmahtv
Автор

Manyanya ongera yako❤❤❤❤❤❤❤❤unatufunza sisi Wana ndoa mungu akubariki ufoke mbali

VeronicaMichael-phyu