DUNIA (Ep 13)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Jmn mkewe mudi anatya huruma kusem kwel, , alolion hilo km mm gonga like tujuane❤❤❤

SubiraMussa-fy
Автор

Dunia ni darasa huru, hongereni waigizaji mnavipaji vikubwa sana. Mungu awabariki kundi lenu lidumu Ili mwendelee kutupa burudani. 🎉🎉

johannesnyabara
Автор

Izi kazi nzuri sana wote wanajuwa sana ila manyanya na mudi ndo atari sana kbs❤❤❤❤ back-san from drc congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✍️🌍 namm nomba lik moja tu kwenu

Back-sanSaimonifather
Автор

Bibi ya mudi Ni mwanamke Wa kupigiwa mfano.Anaficha aibu ZA mumewe .Hongera Kenya.

yahyajohnmwavitujembezitto
Автор

Kazi nzuli sana Manyanya!❤❤❤ ila jamani nnaujumbe hapa ivi mnajua kufika mpaka mwaka 2034 kuna baazi ya watu tutakua tumeaga Dunia kwaiyo huuu ni ukumbusho kwa sisi sote tufanye ibada na tutende yalio mema ili tuwe salama baada ta haya maisha ndg zangu na Mungu atusimamie katika ili.😢😢😢

abduliashiru
Автор

Mungu akulinde na akutangulie kwenye maisha yako na akulinde zidi ya maadui wabaya wote wewe unayesoma hii comment

Mosted-sb
Автор

Nampenda sana mke wa mudi na manyanya na mati kama tuko pamoja like zenu pls

MedanneRubenga
Автор

Napenda manyanya bure yani kupitia hii kipindi nimejifunza mengi kutoka kwa advise ya manyanya❤❤

lindauma
Автор

We jeshi kaza kiume kabisa❤❤❤ kama unamkubali manyanya ngonga tanu kbsa

ClovisNiyokubaha
Автор

Manyanya anaigiza huku pia Akiwa anafundisha ... Big upppp broooh

emilyaloyce
Автор

Enyewe shetani yupo, ebu kaza basi kakangu, one love 🇨🇦

mashcanada
Автор

Na wa penda zaidi, mungu Awa bariki sana.
Muna tuuu fanya Ku penda dunia

michelmukata
Автор

Wa kwanza Léo toka Congo 🇨🇩 nipeni liké kama una kubali sana groupe hii❤❤

ElogeKambale-jpsw
Автор

Wow mashalah nmejifunza maneno mengi ❤manyanya you are the best man 💕

Ronah-zi
Автор

Naona kama mati na Catherine watagombn coz ya manyanya , manyanya anaelekea kumpenda mati, hii vita mhh haya ngoj tuone, lkn tunaomba muongeze muda mchache, pole sindi wangu

Mumlion
Автор

Pameanza kuchangamka panapambazuka tayari na siku ukimfuata vai mtagombana atakununia huyo mpk ujute kilichokupeleka😂😂😂😂😂😂❤❤❤

FurahaPetro-lyjc
Автор

Waaah nimewahi lkn mumenipita bt I love you guys nipeni like na mimi

oddypoddy-
Автор

Nawakubali sana Asma films mko vizuri sana bila kusahau manyanya Yuko vizuri 👏👏👏👏👏

HajiNjuwi
Автор

Dahh😢nikwwli inauma ila wanawake tujifunze kitu mudy ni mlevi sana hana huduma ata moja ila mkewe hajawaza kumsaliti mumewe wala kushawishika na wanaume wengine ila anapambana hali anaumia endelea kuvumilia na kuzidi kuelimisha jamii❤❤exclent job❤️❤️❤️❤️

Zaina-kx
Автор

Have a long life manyanya utakuwa bonge la star soon much love bro

innocentmvwazake