DUNIA (Ep 22)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Maty me nakupendaa ivo ivo bwana yan unajua ku care mapenzi kama mpenzi wangu I love you so much maty❤❤❤

PatrickShazi-nlnj
Автор

Manyanya I truly love that...
You have done well encouraging your wife, to be as good as the way human doe's.
Watching you from Zambia Lusaka 🇿🇲

reaganlufuna
Автор

Manyanya na mchepuko wake like nyingi kwao

ShangweKiulamagulu
Автор

Kwa mweny kuelew aelew haya maneno...mafunzo y bure big up manyanya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

NajmaBarry
Автор

Nikion mapenz ya matrida na manyanya najiskia nikam mim asante mati na manyanya 🌹🌹🌹

Noéslave
Автор

Manyanya atakuja kuwa msanii mkubwa sana afrika nzima.mzee nimekubali unajua kushika nafac yako big up sana mzee💪.hii move kwangu mm ni no. One kwa huu mwaka

amossbuyamba
Автор

Me nimeimiss san himove igishuka to you tube nafulahia mana inafunzomingi kwakiufupi waingizajyi wote mujyue munapendwa muno lm from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤❤

سلطانالدوسري-لذ
Автор

Kweri kaka manyanya mwambie vai, amezidi ukali, msichana anatakiwa aishi vzr,

PiliRamadhani-clnw
Автор

Manshaallah napendag niyione usiku mwingi san nafsi yangu inatulia san acheni kuchelewa basi afu na wapenda san 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮

JeziraMusa-iv
Автор

Duu siyo pwa ndo maisha wanaoyapenda wanaume kwa sas ndomn awana mapenz ya kweli wanapenda kulelewaa😊

WastaraShabani
Автор

Mshukuru MUNGU kama umepata neema ya kuona siku ya leo🥰

Jasminadamu
Автор

Good nice one story brother manyanya I like it 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂

AmaniNangerembe
Автор

Kaka Manyanya nimependa ujumbe wako kwa Vai juu ya kutowadhalilisha wafanyakazi matusi ukali haipendezi kiukweliii
Busara na hekma vitawale ktk nyumba ila hasira haitosaidia bali inawajenga wafanyakazi kuwa na chuki, kibri na kisasi kwa waajiriwa wao 😢😢😊
Anaeunga mkono hilo aweke like

mwanamwinyi
Автор

Kazi nzuri kaka Manyanya Math kaza asipate nafasi shoga Kathe

MwanaHamis-ye
Автор

Manyanya, , , , unajua mpk unajua tenaaaa yaani ww nakupenda bureee tsuu

aishamwachi
Автор

Manyanya na sgr yke..❤❤ mati usimuudhi manyanya mpende zaidi sana

sharonshanny
Автор

Aisee hongera sana kaka manyanya kwa kaz nzuri umesha kuwa mwalimu wa taifa letu. Pia nimependa kwa kuiwahisha kazi yenu

MariaKapinga-fq
Автор

Dada wa kaz mzuri kabisa anafaaa Kwa matumizi😋

mosesmgomb-vzfq
Автор

Yaani nikiona hii muvi nachanganyikiwa kabisa
Muko good aisee mpaka naona mda mchache❤❤❤

Jiddahkhery
Автор

Wana wakendiyo maana tuna achagwa kwahal hii ya vai hongera sana mat huwo ndiyo uwana mke

NasiryNasiry-ki