DUNIA (Ep 59)

preview_player
Показать описание
Dunia episode 54,
Dunia episode 55,
Dunia episode 56,
Dunia episode 57,
Dunia episode 58,
Dunia episode 59,
Dunia episode 60,
Dunia episode 61,
Dunia episode 62,
Dunia episode 63,
Dunia episode 64,
Dunia episode 65,
Kipesile episode 40,
Kipesile episode 41,
Kipesile episode 42,
Kipesile episode 43,
Kipesile episode 44,
Kipesile episode 45,
Kipesile episode 46,
Kipesile episode 47,
Kipesile episode 48,
Kipesile episode 49,
Kipesile episode 50,
Kipesile episode 51,
Kipesile episode 52,
Kipesile episode 53,
Kipesile episode 54,
Kipesile episode 55,
Kipesile episode 56,
Kipesile episode 57,
Kipesile episode 58,
Kipesile episode 59,
Kipesile episode 60,
Kipesile episode 61,
Kipesile episode 62,
Kipesile episode 63,
Kipesile episode 64, kipesile episode 65,

Last chance episode 1,
Last chance episode 2,
Last chance episode 3,
Last chance episode 4,
Last chance episode 5,
Last chance episode 6,
Last chance episode 7,
Last chance episode 8,
Last chance episode 9,
Last chance episode 10,
Last chance episode 11,
Last chance episode 12,
Last chance episode 13,
Last chance episode 14,
Last chance episode 15,
Last chance episode 66,
Last chance episode 17,
Last chance episode 18,
Last chance episode 19,
Last chance episode 20,
Last chance episode 21, Last chance episode 22,
Last chance episode 23,
Last chance episode 24, last chance episode 25,

#bongo255 #dontatv #asmafilms #dunia #penzilamtotowaboss

Welcome to my Movie Review and analysis channel.
penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 66 donta tv, donta tv penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 67, donta tv penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 68, donta tv penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 69, penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 70 donta tv, donta tv penzi La Mtoto Wa boss na dada wa kazi part 71,

NOTE! This is not an original video or episode, it is just analysis and review of some episodes in our series.
This video doesn't aim at distorting you or deceiving anybody to believe that this is original episode, So our aim is to analyse on some parts of the previous episode and give predictions on what is going to happen on the next episodes. We Consider YouTube community rules. IN CASE YOU WANT TO SEE ORIGINAL VIDEO, VISIT MENTIONED CHANNEL BELOW.
Copyright Use Disclaimer This video is for Entertainment purposes only. Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for "fair use" for purposes such as criticism, comment, news reporting, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use.

Note - We Make Videos To Influence People To Watch original Movies Which Are Truly Hidden Gems To Entertain People. This Video Is All About Explaining The Movie From Our Own Point Of View. For The Explanation, We Have Used Most Of The Video Clips From The Movie For Better Understanding. For Video Clips All Credits Go To The Movie Owners.

DISCLAIMER: Any footage in this video has only been used to communicate a message (understandable) to the audience. According to my knowledge, it's fair use under the reviews and commentary section. We don't plan to violate anyone's rights.
Our video is not aiming at distorting the original video.
Watch full video on : ASMA FILMS
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

ndoa ni Siri kubwa sana na ngumu sana kutoa nafsi kuvunja ama kukana. lakini manyanya amefanya jambo zito ambalo math hataweza kumsamehe kamwe maishani mwake. japo hii ni tamthilia basi niseme ni Moja ya fasihi ambayo inaelimisha zaidi katika ulimwengu wa Sasa WA Kasi ya Karne ya 21. ulivyo pamba moto. na kusawiri maisha halisi ya watanzania kwa wasomi na wasokuwa na elimu. endeleeni kutoa elimu maana ni sehemu ya kujifunza zaidi katika masuala haya ya ndoa. mungu awabariki wote wahusika wa tamthilia hii ya dunia

EMMANUELSHIJA-fzdu
Автор

am really appriciate all of you.. in Dunia maana nmeanza kuifatilia jana mm na wenzangu wanne kuanzia episode one hadi sasa 57 ndo tuna malizia .. thanks sana tunajfunza vtu vng aisee nmewakubal all of ur characters you fit in it

edwardkavindi
Автор

Nilikua napenda Sana mapenzi ya mati na manyanya yalikua yananipa rahaaa❤, vai aliyataka mwenyewe na ujinga wake, na wazaz wa manyanya awakutaka kusikiliza upande wa pili wa mtt wao

AnnaKarangi-cn
Автор

Unamlipaje mtu maumivu kwa makosa ya mtu mwingine ? Unazani wewe mwenyezi Mungu atakuacha salama usicheze na hisia za watoto wa watu ni heri tangu mwanzo ungekubali muyamalize na mkeo leo mtoto wa watu hajitambui wewe unakula bata wallahi ni vile tu movie lkn kila kitu kipe muda matty usjl utakuwa saw ❤❤walokasirishwa km mm like hapa

azizanzumbi
Автор

Wangapi walioumizwa na hali ya matlida 😢gonga like hapa

RamadhanMpoto
Автор

Manyanya kumbuka utu wa math Alison kusaidia wakati waupweke ulio kuwa nao

FatumaMwamanza
Автор

Yaan cjapenda kabisa hii series ilivyoishia naona upumbav tuu kufatlia kote kule alaf mnaishia hku

Tareqmateka
Автор

Mke n mke tuu tena kama ndoa za ki kristo utakua mchepuko daima😂

batulisalim
Автор

Manyanya ni nyama sana tena sana ata kama ni film mie kasirika sana

FuambaJacques
Автор

Nikweli ndoa ni ndoa 2 atulie kwenyndoa yak😅😅😅

MatugaMbumulile
Автор

Mapezi yanauma wenye mnasema hamuezi Lilia mwanaume mnatudanganya😂 wajua Kila mtu ameumbwa tofauti Kuna wenye roho nyepezi na Kuna wenye roho zito 😅 Kuna wenye tunalia machozi yadondoke Kuna wenye wanaumia kwenye moyo wa anafikiria tu akinyamazia bt ujue anaumia😁 mapezi wewe acha tu

christine-byhh
Автор

Manyanya nakuita mara 3 ulichokifanya kwa mati hakika umemkosea san bcz matty hakukuita uende kwake na ulaniwe tena sana stoangalia teba umenikwaza sana unamlipaje

azizanzumbi
Автор

mm nipo arusha naipenda sana move ya dunia naomba muongeze dakika

VeronicaAyubu
Автор

daaaa mati jamanii ila manyanya kaniboa maumivu makubwa kampotezea mdaa pia😮😮😮

DenisiBroun-xw
Автор

Mh mume wamtu ni sumu lakini kiupande mwingne inauma sana kwa math alichofanyiwa

ElibethCharles
Автор

Kweri binadamu awana wema Manyanya una saau maty gisi ari kupa raha wakati wa shida bora wakuroge mchenzi wee

SilasNtahondereye
Автор

Timu Wana ndoa . Tulio kubal . Manyanya abaki na mkewe . Tugonge ..

marryrufi
Автор

Manyanya akuna cku umeniuzi kama leo we makumtenda mart nakumlipa mabaya kama ayo kweli manyanya cjapenda wew kaka😭😭😏😏

PrincessWinny-eibz
Автор

Waenga usema "HAWARA HAPEWI TALAKA".Matilda amekwisha. na iyi ibaki funzo kwa yeyote anayejivuniya mume wa mwenziye wa ndoa.

AnasaWashikala
Автор

Manyanya usisahau uwaje mke wako maana maisha mazuri ya ndoa ni kukaa chini na kuongea, maana hakuna hakuna chenye me najifunza hapa coz inamaana mtu akikosea huwezi msamehe unaenda mchepuko maana chenye niliona manyanya alianza kusaliti vaileth kabila hawajaanza kukosana huo ni ukweli

alexwafula