DUNIA (Ep 03)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ila jaman nawapa hongera wanawake wote wanaoishi na waume zao walevi kama huyu mudi .... duuuuh wanapitia changamoto sana kama na ww umekubali gonga like apo tujuane🎉

MakwanaJr
Автор

Huyu manyanya ndio aliyefanya hii movie iwe bora sanaaa kwa upande wang aisee respect kwako kaka 🫡

MarcoAmoni-sqdo
Автор

Jamani uyu manyanya alikuwa wapi mbona kachelewa kuja kuelimisha jamiii ... Akijitahid ivi atachukuwa tuzo ya mwigizaj bora ...kama n ww unaamin maono yangu basi usiache kugonga like👍...tujuane

MakwanaJr
Автор

Manyanya nakukubali sana kabisa tena sana kwahiyi movie ya Dunia unafunza saana tena sana big up💪💪💥🔥mimi nijana naetokea 🇧🇮 naona unacheza vizur San

NimubonaYunus-qiyv
Автор

Manyanya utakuja kufanya mapinduzi makubwa katika tasnia hii ya movie nchini.keep going

tuntufyehenry
Автор

Aisee big up bonge la movie
Wadau tukiachana na jua kali, huba na zinginezo hiii imekuja kukomboa Africa, yaani haya ni maisha ya watu kabisa hakika inafundisha mbarikiwe sana

waridiyusufu
Автор

Mr philosopher(manyanya) kaka uko vzur.. am not much in to bongo drama but hii series 🔥 🔥 I salute u all...

ramzymoha
Автор

Bwanayesu asifiwe ni ameen Tumsifu Yesu kristo ndo milele amina afu me siwezi kumpa mume wangu hela y kulewa ndi mana hakupi haki y ndoa apo kwenye supu sawa

gracekayumba-zl
Автор

huyu mlevi na mkewe 😂 maisha yao jmn khaa

nyamiziramadhani
Автор

....ety nafikiri tuanze na chakula cha kiroho then tufungue kipindi tuimbe tenzi afu tutafunga kwa maombi😂😂😂.. church boy😅😅🙌🙌

mussamwakibinga
Автор

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂church boy 😂😂😂😂eti mungu wangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

NnSs-sf
Автор

Kwa hii move nampenda sana matrida😂😂 the way anaongea kwa confidence kama ni uharisia yan😊 nakupenda mnooo❤❤🎉

DevothaEmmanuel-gk
Автор

Matlida mrembo balaaa kazurii jamaniii🎉🎉❤❤

VeeMoney-ge
Автор

Huyu mlevi ndo aneye nifuraisha, aty nimejiibia mwenyewe", "nimejiibia"🤣🤣😂

MariamGodfrey-dh
Автор

Yaaani kila ikifikaga scene ya mchungaji na zinduna yaaani Huwa naishia kucheka tu😂😂😂😂😂

CalebBabwanga
Автор

Wakwanza kutoka burundi🎉🎉 nawapenda sana

GraceNihorimbere-eh
Автор

Jaman huyu mlevi ananikwosha hatari.tena hasa haka kasauti kake uwiiii❤

AnnaFilbert-ub
Автор

Yani nampenda manyanya mpaka bs yupo seriously sana courage ❤️❤️

HakanQalhanoglu
Автор

Church boy Yeye Anataka Kila Kitu leoleo Jamaa noma sanaaa🎉🎉🎉❤

ProspaIL
Автор

kiukwel uyu manyanya na mkewe wanatoa funzo kubwa sana katika maisha ya ndoa ❤❤

ArafatiKipakapaka-is