DUNIA (Ep 06)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hii Couple👫 ya Mudi na mkewe ni noma😅😅😅 kama umewakubali gonga like hapa 😂😂😂😂😂

KibweOnlineTv
Автор

Wanaoamini mud n mke wake wanapendana gonga like hapa, This is real love guys hajal mumewe yukoje kampend hvyhvy 🤔🤔🤔

JoyceJohaness
Автор

Daaah manyanya aisee kumbe una talent kubwa kiasi hicho duuh nakuona mbali kaka push zaidi unawashusha wote nakubali sana manyanya 😅😅😅

salumumwandazi-uhkd
Автор

naipenda kutoka ichi ya DRC lubumbashi asante Mungu awabariki muendelee kushirikiana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

MarckDonat
Автор

Mashabiki wa vaileth na manyanya naomba like zenu

EmmanuelMaduhu-qd
Автор

Napenda sana hii movie coz inafundisha sana jamii...kazi nzuri sana kwenu hongereni..❤❤kutoka kenya

garirehema
Автор

Kama unahamini ma nyanya atakuwa muigizaji mkubwa Tanzania 🇹🇿 tujuane apa

Special_boy_og
Автор

Salute kwa team nzima ya Dunia maana kila mtu amevaa uhusika ipasavyo hongereni kazinzuri sana

nesaahaji
Автор

shabbiki mkubwa kutoka kenya aiseee movie lina mafunzo tele. na waigizaji waliobobea nataka kuchukua fursa hii kuwapongeza wahusika na waigizaji wote wa filamu hili.

SimuliziMediaKE-uz
Автор

Nawish mke wa manyanya akiendelea natabia yake hiyo manyanya aende kw mati wetu, timu mati like hpa

VictoriaBupila
Автор

Ila couple ya mudy (mlevi) na mkewe bonge moja la ndoa ukipata mke kama huyu aisee raha san.... Gonga like kwa ndoa yenye furaha kama hii hadi mwisho wa maisha

isayamwanjoka
Автор

Nadhani mimi Mkenya hapa nishafika. Kazi zenu ni tamu sana.Vai, Kase, Mati, Manyanya Cindy na wengine wote pamoja na Asma Films. Barikiweni sana na tuko pamoja.❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.

MarkOlubayo
Автор

Hongereni sana kbs
Mudi na mkewe wana patia sana 🤝
Inshort waigizaji wote wako powa

SmartVicenzo
Автор

Manyanya kazi nzuri sana 👏👏👏👏👏👏🇰🇪🇰🇪🥰🇰🇪 we love you bro

PaulineNasoro
Автор

Maashallah n tamu n hii nyimbo yenu mwenzenu yanimalza sjui naeza ipata

mariambakari-hn
Автор

Wakwanza mie jaman. Wale waliopenda manyanya kumuona uyo dada na kumnyenyua weka Like apa

alheeramobile
Автор

Nimemuelewa sana mtunzi wa hii movie hongeleni sana mko vzr muvie nzur mko juu sana ❤❤❤🥀🥀🥀

SalumuMohamedi-qg
Автор

Wa kwanza from burundi 🇧🇮 nipeni like zanguu

LuckyboyOg
Автор

Tunaohis manyanya atamuoa huyo dada anayeachwa kila kukicha gonga like hapa 😂😂😂😂😂

YusraSiyaleo-ykfz
Автор

Nime penda sana ndowa ya cha pombe sana huyu jamaha mungu amlinde sana Ana nipa raha sana❤❤😢

Dogokingo