DUNIA (Ep 56)

preview_player
Показать описание


Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Allah Akbar! Kila Aliyefanikiwa Kuiona siku ya leo Mwenyezi Mungu Ampe nguvu ya Kutafuta riziki ikiambatana na Afya njema, Kama Mungu Amekubariki hilo gonga like hapa tuwape Nguvu Team Dunia Series🎉🙏🙏🌷🌷❤❤🌹🌹💐💐🙏🙏

KibweOnlineTv
Автор

Mmh Kaz iko kazinii
Kama unaamn manyany hawz mwacha mart gong lik hp♥️♥️♥️

Eresia-dr
Автор

Hili limeniuma sanaaa 😢😢😢Vai lolote likukuteee team mat tuonane hapa tumpe moyo my wetu

azizamtamile
Автор

Sijawai coment humu ila leo wacha nicoment, , baba manyanya kila jan ulikanyalo linyenyuke na maisha yako yawe marefu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

JustinaDatus
Автор

Kwaresma njema jmn wakristu wenzangu, Ramadhan karim kwa waislam woteeee mungu atupe nguvu na mwixho mwemaaaa kwetu soteee Amin🙏

jescamushi
Автор

Tuliefunga mwezimtukufu na kuachayoote matendo yasiyomvutia mwenyez mungu mungu azid kuwafanyiawepes mzid kuiona DUNIA AKA MD MZUNGU PAKA LA BAAR.

jolaxstosta
Автор

Napenda Sana huu ubunifu, KAZI Safi Mr manyanya

Kingstar.
Автор

Jaman mat pole aisee mme wa mwenziyo usimuwekee asilimia 100 kama unaamini hilo gonga like hapa

RosemaryJohn-ew
Автор

Uliomba sana Vaileth hayo ndo matokeo ya kumkabidhi Mungu mambo yetu magumu badala ya kutumia NGUVU zetu, si ndivyo hivyo mashabiki wenzangu wa Dunia!!

EvaristDidas-zv
Автор

Mwenyezimungu atupe kheri, Baraka na nguvu za kufunga huyu mwezi mtukufu wa Ramadhan Allahumma Aamiin 🤲🤲

IbrahimNdayishimiye-volo
Автор

Tunao muombea Mudy kwa Allah abadilike awe na pesa Pia awe smart na ache pombe ili Sindy ajutiy kumpoteza tujuwane kwaku like ❤

ponyoduguru
Автор

Yani Leo, nimejifunza vitu vingi sana kwenye episode iyi 👌👌👌👌

EstherIsengelonyasa
Автор

Leo mimi wakwanza kutoka Moçambique naombeni like 👍🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🍎💐🌹❤️🔥kwa good job ya Dunia 🙏🤔🔥

TonyCristy-vu
Автор

Kazi nzuri, manynya Hana jina ila anafanya vema big up kwa wootee waigizaj wetuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

davidmdee
Автор

Hahahha sasa mnamwambia mtu afute namba na anapajua kwake 😂😂😂😂😂 kam unaamini manyanya atarudi kwa maty like hapa ❤

ConsolathaMathias
Автор

Nilicho jifunza kwa manyanya ni heshima juu ya wazee na hii ndio maana ya mtoto hakui kwa wazazi kazi nzuri vijana.

AbeidRamadhan-sb
Автор

Manyanya sijapenda kabisah kwanini umtese dada matiy!!! kama na wewe ujapenda gonga like kwajiri ya Maty 💞💞💞💞💞

AntonioJoãonamiva
Автор

Mzee Wake Manyanya kanyooka kama mzee wangu hataki ushauri n amri nqmkumbuka Sana fazzq wangu Mungu amlqze mahala pema peponi🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

richardmloha
Автор

🎉🎉 wakwanza DJ pinnoss like it depuis kalemie Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉

Innocentamuri-zboi
Автор

Amani spendi jinsi unavyoo mliza cyndi unamtesa mwezako na kachukua talaka kwa ajili yako na wew humpendi.... wapy likes za Kenya 🇰🇪 💕💕💕

bongomovies