TIZAMA MIUJIZA UCHAWI LIVE WA CHIEF GODLOVE KIJANA TAJIRI TANZANIA

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama kijana wa kiume ukiona unaanza kumuelewa huyu jamaa. Ujue unakalibia kulawitiwa. Kafanye kazi halal ufanye maisha acha upumbavu

Aziz-ps
Автор

kk nakubari sana wanyoshe atakama mm pesa sina enderea kk mpaka wakae sawa

Fikiri-xucj
Автор

Uyu jamaa ni genius
Akili yake ni ya kufikiria sana

cosmaslunyembeleka
Автор

Kaka mi nimehaso sana naitaji konenekishen kaka niko tayari

BarakayohanaYohana
Автор

Nakukubalii sana brother geita moja iyoo kaka

SadikiMazibunga-wuwl
Автор

Ilo linateseka apo vijana apanaku pokeyaizopesa

bernardabedi
Автор

Brow endelea na mambo yako, mtu ukimchinda mengui a kuonguea fanha mambo

AbuchirSumail
Автор

Mimi nina alama ya M mikono yote miwili naomba ufafanuzi

RukiaMdide
Автор

Braza me naomba munisaidie feza kidogo nipate ya mtaji

leticiachares
Автор

Broo Una Maneno machafu sana lakin sijawai kukupinga unaongea point

maudassi
Автор

Ww ni miyayusho tu unatuektia muongo muongo

cleartzboy
Автор

Usilitaje jina Mungu bure, nakukumbusha broh kua na pesa nyingi sio tatizo but kumbuka Kuna maisha baada ya haya, jiulize tajiri wa Africa Mansa musa leo yuko wapi richa ya utajiri alowah kuumiliki, Basi tuseme mfalme suleman aliekuag tajiri zaidi leo yuko wapi, Kuna maisha baada ya hizo karatasi 😎

hermanricci
Автор

mshamba wewe unaibisha nafsi yako bila kujua fara

Mosesndela
Автор

Mim nakuelewa chifu waache makasiliko

fatmaaslam
Автор

chf niunge nitakueleza kitu inawezekana ukawa musaada wamaisha yang u kwako

Rosemeryminyagato