MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, 'WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI'

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.

yasinkihupi
Автор

Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎

hindisaid
Автор

Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄

barnabasstanslaus
Автор

Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke, , , wakishindwa waiteni wachina watandike fly mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu, serikari wapafunge na sio kivutio.

clintonjoas
Автор

Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.

malcolmmusa
Автор

Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪

deniserick
Автор

Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia

munaahmed
Автор

Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji

ndukulusudikucho_
Автор

Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans

eliajason
Автор

Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..

joycekalembo
Автор

Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.

valenakomba
Автор

Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu

missmoona
Автор

Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje

juliethhouseofdesigns
Автор

Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣

djdisboytz
Автор

Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!

edlumala
Автор

Mapato unawazimu kweli, mapato ayo kwio

salumjumaruhaga
Автор

Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!

freduallughano
Автор

SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU

samyspesho
Автор

Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.

valenakomba
Автор

Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako

awadhrajabu