BINTI huyu anaswa kwenye KAMERA akifanya mambo ya ajabu! ( Inatisha )

preview_player
Показать описание
#creepyvideo #babyghost #caughtoncamera #ghosthouse

In This Video:
Dash Cam ni camera ambazo zimekuwa zikinasa matukio mengi ya ajabu kiasi kwamba matukio hayo huwezi kuyaona kwa macho mpaka pale WILD ZONE MEDIA tutakapokuletea matukio hayo, La sivyo mpaka umjue mungu sana ili aweze kukupa uwezo wa kuyaona matukio hayo kwa macho yako mwenyewe ama uende kwa waganga ili aweze kukupa jicho la tatu.

Jiandae..

Send your material to:

THANKS FOR WATCHING..
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hakuna ki2 niutapeli wakula MB ze2 bure

JumaRama-yc
Автор

Majini na masgetani yapo kwwli kbisa Tz Dodoma maeneo ya wajenzi tukio kama hilo ucku wa saa saba usiku live kabisa yani gari aina ya crown lilikuwa halina Driver (nilitoka royal village)

BenethMutalemwa
Автор

Ni lazima watu wakubali kuwa Kuna Dunia isiyoonekana kwa macho yetu ya kawaida. Vipi viashiria vingi na hata vitabu vya dini vimeandika kuhusu ulimwengu mwingine usioonekana kwa macho labda tu wahusika watake wenyewe uwaone. Viko vituko vingi sana ambavyo vimewatokea watu na hawakuwahi kujua ni vitu gani vimewatokea.

JumaNjiku-dffd
Автор

Acha kutapeli watu unaonesha nini apo hamna lolote unafki tu

samwelalex-qpgf
Автор

Dude tatizo kipande cha sek 10 unakirudia kma dk 2 bro tunapenda vid zako ila rekebisha hiyo

Official_Mubahmars