Naomba uniandikie na unisaidie niwwze kuoata pesa nyingi za Kenya nitafurahi sana na kukushukuru Mimi naitwa Helena natoka Kenya
HelenKemunto
Hahahhaha jamani ndugu zangu tufanye kazi kwa bidii na kumuomba Mungu tu, kila kitu kitakuwa sawa, Haya mambo mengine kiukweli yanachekesha 😂😂🙌🏿
bakaryabdul
Izo pesa zinafaa kupeleka benk au ukifika tu zinayeyuka
petercostakisoka
Kaka nitawezaje kutumia huu pango sasa?
FocasMateus
Kaka nilikuwa nakukubali sana kupitia vitabu vya Tiba asili ila huko huo ni upatrooo wa Hali ya juu, making money is not easy in that way .
wilfredmtui
Kwenye chombo ni madawa gani unaweka na tarasimu ni ipi ya kuandika.
savagetrooper
Daah ukimwona tajiri muache tu ufate mambo yako ni yani namna zitavo kutesa bora usiwe nazo
petercostakisoka
MUOGOPE ALLAH ALLAH Hapendi kabissa mambo hayo ya ushirikina.. jua ya kuwa ukifa hali ya kuwa ni mshirikina wewe ni motoni milele.. hivyo bas chukua tahadhari mapema.. maisha haya mafupi ya dunia yasikudanganye ukauza akhera yako
yasirsaid
Duuh i know this is a big connection with don shafineyz concern about this wonderful opportunity 🙏, ,
isacklugalila
Mungu wangu, nawakati watu tunaangaika.ina kafara Gani please?
consolatamangera
Hongera mwalimu, twashukuru kwa mafunzo unayotupatia
Unanifanya nilale kwa mawazo naomba naomba yako please
LovenessLucas-rx
aitanithulumu naitaji Moja shida masharti labda yawe makali ama mangumu
mutuapatrick
Yaani huu ni ushirikina wazi wazi halafu unamtaja Allah wakati amekukataza vitu hivi na ameahidi moto wa milele atakaemshirikisha waislam mbona mnachekesha