SIRI NZITO! TUMIA HAYA MAJINI KUPATA KAZI NA KUPENDWA KWA HARAKA, MAAJABU YA MAJANI YA MABOGA

preview_player
Показать описание
#sirizabongo
SIRI NZITO! TUMIA HAYA MAJINI KUPATA KAZI NA KUPENDWA KWA HARAKA, MAAJABU YA MAJANI YA MABOGA KUOMBA KAZI POPOTE UENDAPO!
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante kk kwakutufundisha mungu akudizishie lakini ujasema km unamdai mtu pesazako ufanyeje

zainabsaidi
Автор

Shukurani sana Allah akuzindishie umri ili ufanye mazuri zaidi na kuwasadia watu

baturirashid
Автор

Nashukuru kwa mafundisho mungu akubariki tu Sana

sussynasimiyu
Автор

Bonjour monsieur merci pour votre connaissance

rickymakungukazadi
Автор

Asante sana kwa maelezo yako kuhusu majani ya maboga.

makandakapira
Автор

Thank you very much appreciated with your advice.then am asking what about business

gfcisyh
Автор

Hello my dear friend. Ukipenda upendwe na watu wote utafanya na hii dawa?

cgqouuu
Автор

Asantekwa mafundisho mazuri na ya utaratibu na Mungu azidi kukujazia kwa Siri Kubwa. Je na wizi kwa mji na kwa shamba viakula kuibiwa na vitu kuibiwa

jescabulimo
Автор

Thanks brother for good teachings.Allah bless you.

kikifina
Автор

Isaiah 41:10 usiogope maana Mungu Yu pamoja nawe atakushika kwa mkono wa kuume

happinessmongare
Автор

Asanteee mungu akubariki ila ungeweka bamba yako ya cmu sheikh tuko mbali ss hatupo Tanzania tuwasilianeee 😇😇😇

alhamdullilla
Автор

Asante washwahili am a Ugandan but I follow thiz Tz culture alot ukweli
Bongo mna siri

nabawanukanuru
Автор

Nimekulewa vema kaka endelea kutoa darasa mungu afanye wepesi kwako

yqmlsze
Автор

Asante sana kwa msaada zaidi kwa mafundisho ila ningeomba namba zako kwa mawasiliano zaidi.

ELOCHOLutumbo
Автор

Asante Sana .kwa maana hii mimea nayo haikuumbwa bahati mbaya ni halali kwa matumizi mazuri🤔🇹🇿

soundmale
Автор

Kila jambo Lina fanyika Kwa uwezo wa mungu

katanalenyo
Автор

Aliyeziumba hizo mboga ndiye tu wakutegemewa hiyo ni kazi ya mikono yake tumpe sifa na utukufu Bwana wamajeshi Mungu wa miungu yote

paulmaina
Автор

ili kuepuka kuharibu dawa unaweza ukishaogea, na kupakaa unaweza ibeba ukaenda nayo ukailamba wkt unataka kuingia kwa interview au kesi, au kuombea pesa?

evamwabulambo
Автор

Siwezi tegemea majani nguvu zake Mwemyezi Mungu zanitocha

maureennjauimwe
Автор

Asante saaana kwa somo zuri saaana, pia tunaomba no za cm kuna kusahau maelekezo, Asaaante saana

frolencemihayo