MAAJABU ya MSTARI UNAOTENGANISHA BAHARI MBILI KUBWA, KWANINI MAJI HAYACHANGANYIKI? SABABU HIZI HAPA

preview_player
Показать описание
MAAJABU ya MSTARI UNAOTENGANISHA BAHARI MBILI KUBWA, KWANINI MAJI HAYACHANGANYIKI? SABABU HIZI HAPA

Pembe ya Cape iliyopo kisiwa cha Hornos kusini mwa Chile ni sehemu ndogo yenye misukosuko, inayoogopwa na mabaharia wengi duniani tangu ilipogunduliwa kwa mara ya kwanza miaka ya 1500 iliyopita .

Ni mahali panapo tenganisha kati ya bahari ya Atlantiki na Pasifiki - mahali ambapo wachunguzi wa mambo wanadai kuwa maji yanakiuka sheria zake zote na kukataa kuchanganyika.

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113

LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻

Follow Us On:

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ametukuka Mwenyezi Mungu m'bora katika uumbaji, yeye ndye aliezitenganisha bahar zisiziingiliane... Ni ishara na mazingatio Kwa wenye akil na kufikirii

allythabiti
Автор

Kasome Quran surati Rahman (55:19-20). We proud to be Muslim. Everything has been explained

mohamedturanardan
Автор

Hakika Qur'an ni kitabu cha ajabu sana ❤❤❤

ilovejesus
Автор

Asantee bi Khadija kwa kuendelea kutangaza ukuu wa Mungu, lkn mwisho wa maelezo yako umeteleza kdg, " huendelea kuchanganyikana taratibu" ukweli wa maelezo ya muumbaji ALLAH anasema " hayachanganyiki kabisaa hata kdg pamoja na kukutana kwayo.

HabubaManeno
Автор

Mwenyezi mungu (Allah) ameelezea hiko kitu kwenye kitabu tokea karne ya 5 na amesema hiko kikwazo anakijua yeye.. Surat Ar Rahman

caysamabdallah
Автор

بسم الله الرحمن الرحيم
مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ

[ ARRAH'MAN - 19 ]
Anaziendesha bahari mbili zikutane;

يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ

[ ARRAH'MAN - 22 ]
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.

وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ

[ ARRAH'MAN - 24 ]
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.

faudhiasaidi
Автор

Proverbs 8:29
[29]When he gave to the sea his decree, that the waters should not pass his commandment: when he appointed the foundations of the earth:
Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;

fredrickgitonga
Автор

Hizo zote nikatika ishara za kuwepo kwa mwenyezimungu lakini binaadam amekuwa mgumu kuelewa

allymohamed
Автор

Mwacheni Mungu aitwe Mungu hakuna km yeye maisha milele

hawaelymaricca
Автор

Allahu akbar hakika Qur ani ilishaweka wazi karne nyingi tu Allah ameshaeleza hlo ni uwezo wake Allah mtukufu hapo mwana sayansi hana lake ispokua taarifa ya mwanasayansi bingwa ulimwenguni nae ni Mtume Muhammad s.a.w.

abdallakhatib-kj
Автор

Allah kashasema hayachangnyikani abadan, mstuongopee et yanchanyikana taratibu

rukaka_jr
Автор

Wacheni MUNGU aitwe MUNGU, Na Atukuzwe pekee milele yote🙏

shukutech
Автор

This Phenomena Already depicted In Quran some Years Ago, 55:19 Quran

amourworldbeats
Автор

Matendo ya Mitume 27:40-41
[40]Wakazitupilia mbali zile nanga, na kuziacha baharini, pamoja na kuzilegeza kamba za sukani, wakalitweka tanga dogo ili liushike upepo, wakauendea ule ufuo.
[41]Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.

ndimubhanziteze
Автор

halafu anakuja mjinga mmoja anasema eti Mungu hayupo

fadhilifredrick
Автор

MashaAllah, ALLAH has said in the holly book Quran more than 14 centuries

kassimhassan
Автор

- Al- Furqan 53

Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na akaweka baina yao kinga na kizuizi kizuiacho.


Anaziendesha bahari mbili zikutane;

- Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.

Ar-Rahman 19, 20


Tutawaonyesha Ishara zetu katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshi kwamba Mola wako Mlezi kuwa Yeye ni Shahidi wa kila kitu?

Fussilat. 53

hemedahmed
Автор

Allahu Akbar ☝️ tusoni qur'an yote yamo hakika qur'an ni muongozo wetu binaadamu

salmaabdu
Автор

kitabu kisicho nashaka cha waislamu sura ya 55 aya ya 19__20 kimeshaweka wazi mambo hayo ya maji zamaaani miaka 1444 ilio pita. Hiyo ndio QUR, AAN.

charafimali
Автор

Uislam Raha. Majibu yapo kwenye Qur'an. Allah Akbar

tanzanian