AGANO (EP 10)

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Yani hii mover ya mzee wa hisabu ni kiboko matukio kila siku pasua kichwa kweli I like the mover

KassimKhalaid
Автор

Huyu jamaa jaman movie zote huwa anateseka sana hadi nimemuonea huluma tengenezen move ili nae awe hata boss ajipoze kidogo 😊😊😊😅😅😅

LazaroThomasnghumbila-irol
Автор

Tiffa nakukubali wa kwanza Toka kenya nawapenda ndugu zangu watanzania jamani ata like kumi mnipe

brucerinka
Автор

Bora nkafunga hii hosp ma'an Hain faid yyte hakun mtu anaepona

Edith-rqmm
Автор

Mimi nimechelewa nimekuwa was pili kwa sekunde 59 naomba like zangu

khamzalockymaster
Автор

Kipengele Cha chapombe nakipenda Sana Kiko makini sana

oswaldminja
Автор

Cha pombe kumbe asipo lewa n mtu mzry jmni n handsm

MamuBintally
Автор

Hii filamu ni kali balaa sema zinachelewa sanaaa

andrewkilave
Автор

Kwa mara ya kwanza naomba like Moja Kwa mlev Leo amedashi kinoma Yan 🤣🤣🤣

TumaMwinyi-skdw
Автор

In from Nyakeiri Marani Kisii KENYA 🇰🇪

Ekerenga
Автор

Wapili naombeni like zangu😂😂 kutoka green city mbeya

mariamumariamu
Автор

Dakika moja ya mlev cjui anaendaga kuiomba mizim yake🤣🤣

marthaelias
Автор

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ aisee hii movie ni tam kuliko ata dunia jmn wanao mkubari manyani gong life apa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

Shadya-juel
Автор

Kumbe mlevi ni mxuri ivi akiwa ajalewa

gracekayumba-zl
Автор

Kweli Huyu ni Mzee wa hisabati ana hesabu Kali sana

JescaFelix-ex
Автор

Hv jaman mait toka lin ikakabiziwa hofisin mmetupiga🤣🤣

marthaelias
Автор

Harakisheni next episode jamani tunawapenda

HAWAMAULIDI-zlxd
Автор

Dada aliyetolewa mimba kimiujiza ameniliza sana. Dah!

HamisiKisime-orjz
Автор

It's high time huyu mke wa daktari apate pigo moja Kali tu 😂

fredtheorganist
Автор

Manyany we mbn unasesheka sana tena sana ila kwenye dulia umeniumza kwann mat amekukosea Nn ad umwache kwenye maumivu vile

HusnaHassan-bz