Mtu Mrefu Zaidi Duniani |WATU WA AJABU ULIMWENGUNI

preview_player
Показать описание
Hii ni Historia Ya Kijana Mrefu Zaidi Duniani

Kumbuka :Asili ya Video Hii Iliundwa Kwa KISWAHILI&KIFARANSA Chini Ya Afrimax Ltd,Ikimaanisha Tunamiliki Haki Yake kwa 100%,Hili Ni Toleo La Kiswahili,
#afrimaxswahili #truly #historiaisiyoyakawaida #trending #watuwaajabu #extraodinarypeople

Usisahau Kubonyeza Alama Nyekundu (Subscribe)kisha Alama Ya Kengele ili Uwe Wa Kwanza Kupata Video Zetu AFRIMAX SWAHILI
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hiyo ni kazi ya Mungu, hakika Mungu ajawai kukosea, ,

JoniaIssaya
Автор

Kwa ulefu wangu Huwenda nika mfikia Begani nina miaka 20

barackzacharia
Автор

Habari naitwa innocent yamlinga nakipaji cha utangazaji na uwaandishi wa habari uwandaaji wa makala na mtayarishaji vipind vya burudani naomba ku join na kituo hiki

georgeyamlinga
Автор

" The watchers are back! Enjoy your life bro.

kuschprince
Автор

Wahooo jamn. Walau eye kabalikiwa ulefu.

MesiaAtukuzwe
Автор

Watanzania nao kwa ushamba ndiyo namba moja.😢😢Huyu ni mtu wa kawaida tu

gracekagoma
Автор

Mmmm huongo uku knya yuko zaid ya huyo

SikudhaniKulonda-jybq
Автор

Huyu Jamaal ni mrefu mno du mpaka amepitirza

RichardmwisalileghambiRichardm
Автор

Nilishawai kumpakia kweny boda kila tunapo pita wanatushangaaa anakaaa tbt uyo

AbdallahKigoma
Автор

Mtihani sio ya kucheka ila nimmcheka huyu kaka anaye sema kama akimfumaniya na mke wake atamuachiya na nyumba pia

sabihahamadi
Автор

Huyu ni ndugu na Hashim Thabit. Maana wanafanana mpaka sauti

mwanaishazain
Автор

Mimi Naona sio mrefu Sana WA kawaida tuu

talhiyaibrahim
Автор

Mshenzi hadi umefikia utangazaji bado hujui kutamka Tanzania eti unatamka Tanzaa nia

baghabaghaingwengwe
Автор

He has a shorter life span. Scientifically proven

Citystarwater