KIJANA MREFU ZAIDI DUNIANI AGEUKA GUMZO, ANA FUTI 9 NA NUSU, ATAKIWA KUFANYIWA UPASUAJI...

preview_player
Показать описание
KIJANA MREFU ZAIDI DUNIANI AGEUKA GUMZO, ANA FUTI 9 NA NUSU, ATAKIWA KUFANYIWA UPASUAJI...

Sulemana Abdul Samed mwenye umri wa miaka 29 kutoka Nchini Ghana amekuwa gumzo duniani baada ya kuwa na urefu wa futi 9 na nusu huku akijulikana zaidi na kila mtu kwa jina la utani Awuche

Hapo awali, hospitali moja ya eneo la Kaskazini mwa Ghana ilisema kuwa Samed alikuwa amefikia urefu wa 9 ft 6 inches (2.89m), lakini baadaye iligunduliwa kuwa zahanati ya vijijini haikuwa na vifaa vya kupimia sahihi kwa mujibu wa ripoti ya BBC.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Utakuw wazazi wafup ila wamezaa mtot mrefu

aminatanzanya