Ibraah - Sawa (Official Music Video)

preview_player
Показать описание
Sawa is a song written, and perfromed by new sensational Tanzanian artiste Ibraah from Konde Music Worldwide Record Label. It has been produced by hitmaker Bonga while visuals are by Hanscana and a cameo appearance by Konde Gang Boss, Harmonize.

It’s Bonga
(Oh nah nah nah nah nah aah)

Asante Mungu Baba uliye mwema
Nimeiona siku nyingine ya furaha
Hali sio haba sio njema
Wa kuniponya nipate hata chembe ya furaha

Maana wazazi wananitegemea
Na ninakaribia mi kuitwa Baba
Nami ndunguzo waloegemea
Sina kitu nimechalala nimevava

Uniepushe mabaya dunia
Yasijenikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia
Ni nusuru muumba

Katu nisikate tamaa
Niende kusaka tonge
Nipate ama nishinde njaa
Moyoni upige konde, ni sawa eh!

Ni sawa, ni sawa
Nami nitafika (Ata nikikosa sawa)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Ah ridhiki we ndo unayegawa)

Sawa, ni sawa
Nami nitafika (Mwanadamu hawezi panga)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Sitozuguka kwa waganga)

Natapa tapa elimu sina
Mi kusoma sijasoma
Nami nasaka nijenge heshima
#Ibraah #Sawa #KondeGang
Mi nakoma ju wananichoma

Ni wewe pekee ndo naye jua
Ah mbele yangu na nyuma yangu
Mie mpweke naomba dua
Ah Baba fungua ridhiki zangu

Nashukuru Baba, pumzi unayonipa
Maisha naendelea
Ila kingine Baba, nadhalilika
Huu mzigo unanielemea

Baba niwewe Baba (Ni wewe)
Niwe ndo msaada (Ni wewe)
Ni wewe, ni wewe
Baba ni wewe

Uniepushe mabaya dunia
Yasijenikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia
Ni nusuru muumba

Katu sikate tamaa
Niende kusaka tonge
Nipate ama nishinde njaa
Moyoni upige konde

Ni sawa, ni sawa
Nami nitafika (Ata nikikosa sawa)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Ah ridhiki we ndo unayegawa)

Sawa, ni sawa
Nami nitafika (Mwanadamu hawezi panga)
Ni sawa, ni sawa
Nami mimi utanipa (Sitozuguka kwa waganga)

Download and Stream on all Digital Platforms Link

Written by Ibraah
Produced by Bonga
Directed by Hanscana

©2020 KONDE MUSIC WORLDWIDE

Connect with Ibraah on

#IBRAAH #SAWA #KONDEMUSICWORLDWIDE #KONDEGANG
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nimelia sana kusikiliza huu wimbo.. Nimemkumbuka sana baba yangu aliyenipagania kwa hali na mali niwezekumaliza masomo yangu ya udaktari kwa zaid ya miaka 6, siku mbili kabla sijafanya mtihan wa mwisho akafariki, Nilipoteza dira kabisa, Sasa nimemaliza baba yangu hayupo, angalau angeona hata cheti changu akafurahi.. ila Sawa wew Mungu ndo unapanga

charlesstephen
Автор

Nairobi Kenya tumekubali Sauti wa!wa! wapi like jameni

joshfaulu
Автор

dah nakupenda bure...atakae ona hii comment may the good Lord open the door for you AMEN

carolinemwamba
Автор

💪💪💪💪💪 Konde Boy wewe ni muigizaji mzuri sana...

EYVMedia
Автор

Duh Konde anatia huzuni sana kwenye hii nyimbo chozi limenitoka kusema kweli
Naskia ladha flan ya AfroEast....
Gonga like twende sawa

katotalifestylemedia
Автор

Kama unamkubali ibraah gonga like apa.🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇰🇪🇧🇮kondegang for everybody
👇👇👍like. Ngoma kali sana

samuelibky
Автор

Watawezana na mistari yetu??? Aaaaah wapi??? Konde gang for everybody

bronzejeru
Автор

Asante mungu Baba uliomwema nice song gonga like za konde gang for tamaa tunaendelea kusaka tonge

Mayeloyelogrock
Автор

Mimi ni mschana lkn I felt the song sanaaaa hongeraaaa sanaaa ibrah very good of u, uende na ufike mbali na pamoja

fridakennedy
Автор

Mashabiki wa hii nyimbo kutoka msumbiji tukusanyike hapa 2024

Edrissaa
Автор

Kama una ona uyuu Ibraah ata enda mbali gongaa like
The most expensive gang 🇨🇩🇨🇩

milmasmilton
Автор

WA kwanza wapi likes ya Ibraah. Harmonize tembo

lorianakoit
Автор

Hii nyimbo ni bomba sana
This is konde gang mwanangu harmoTembo uyu ibraah ni jini

emmanuelfrancis
Автор

Sitosumbuka kwa na Shidaa. What a point from Ibraah! No matter what! Keep working, usisumbuke! Thanks to good friends who keep coming through, letting you stay with them.

WaterDriller
Автор

Ibraah nakupenda na ninakuaminia kwa nyimbo zako nzur endelea kupambana tupo pamoja nawe 😍😍😍😍

mayasuleyman
Автор

Onana nana nanaaaa ahsante mungu baba ulie mwema nimeiooona siku ya furaha wapi like za KM worldwide 🗺

scco
Автор

Ngoma kali sanaa
Kama unamini iblaah atafika
Mbali naombeni like japo kumi 2

hassankiger
Автор

Sijawahi pata like za KONDE GANG 4LIFE..

Likes za IBRAH
Likes za HARMONIZE

djninetz
Автор

Yaani natamani hata nikilala niwe na uckiliza huu wimbo kwa jinsi ulivyoniingia moyoni😍😍😍😍😍💪🙏🙏🙏🙏🙏

gaudensiajulius
Автор

Nakaribia kuitwa baba na mambo yangu bado imekwama, ila kwa imani najua kila kitu kitakuwa shwari

darubinikyutson
welcome to shbcf.ru