filmov
tv
MTU ALIYEGEUKA NYOKA MTWARA “ANALINDA KIJIJI, UKIMUONA HAULALI NI NYOKA WA AJABU”
![preview_player](https://i.ytimg.com/vi/y8lIzpXejEs/maxresdefault.jpg)
Показать описание
Mwaka 1907 inasemekana palionekana tundu kubwa na kipande cha sanda kwenye kaburi alilozikwa Mzee aliyefahamika kwa jina la Mzee Limbende kwenye kijiji cha Nanguruwe kata ya Nanguruwe mkoani Mtwara ambaye alikuwa mmoja wa wazee wa kijiji hicho.
Siku chache baadae Ndugu wa karibu wa Marehemu Mzee Limbende aitwae Salum Binali Walivenga alioteshwa ndoto kwamba Marehem Limbende amefufuka na kuwa nyoka ambae atalinda kijiji hicho na hii ni kimila na desturi.
Tumefika kwenye kijiji hicho na kutembelea kwenye eneo la bwawa kubwa lililopo kijijini hapo ambapo inasemekana kwamba ndio anapoishi nyoka huyo tangu miaka hiyo ambapo anaonekana na Mtu mmoja tu ambaye anatakiwa kupokea maono ya yanayoweza kutokea siku za mbeleni kwa kuoteshwa.
Siku chache baadae Ndugu wa karibu wa Marehemu Mzee Limbende aitwae Salum Binali Walivenga alioteshwa ndoto kwamba Marehem Limbende amefufuka na kuwa nyoka ambae atalinda kijiji hicho na hii ni kimila na desturi.
Tumefika kwenye kijiji hicho na kutembelea kwenye eneo la bwawa kubwa lililopo kijijini hapo ambapo inasemekana kwamba ndio anapoishi nyoka huyo tangu miaka hiyo ambapo anaonekana na Mtu mmoja tu ambaye anatakiwa kupokea maono ya yanayoweza kutokea siku za mbeleni kwa kuoteshwa.
MTU ALIYEGEUKA NYOKA MTWARA “ANALINDA KIJIJI, UKIMUONA HAULALI NI NYOKA WA AJABU”
The lethal black mamba
mtu nyoka
CCM Ina watu🙌 #tanzania #africa #words
HUYU NDIE NYOKA HATARI SANA KUWAHI TOKEA DUNIANI {Snake}
The Really Human- Watu wa ajabu watokea Duniani
KOBOKO NYOKA HATARI AONEKANA KATAVI
Mtazame Samaki wa ajabu aliyevuliwa Mtwara, Wavuvi wazungumza kilichotokea
40 ZA NYOKA 'MNYWA UJI' ZAHESABIKA,ASKARI WA MALIASILI WAMSAKA KWA BUNDUKI.
nyoka hatari zaidi kuwahi kutokea duniani
Ifahamu Zahanati inayotibu watu waliong'atwa na nyoka tu.na matibabu ni bure
ALIEHISIWA MAUAJI YA KIKONGWE NYUMBA YAKE YABOMOLEWA NA WATU WENYE HASIRA KALI NANGURUWE MTWARA
Mtego wa Nyoka | Snake trap #Tanzania
Maajabu: Maiti Afufuka Kisii Baada ya kuzikwa...JIONEE KWA MACHO!!!
NYOKA AZUA TAHARUKI KWENYE MAKAZI YA WATU, ANADAIWA KUWEPO ZAIDI YA MIAKA 40
snake/nyoka
NYOKA MNYWA UJI AMTESA MAMA HUYU 'FAMILIA YANGU INATESEKA,SERIKALI ICHUKUE HATUA'
zifahamu hatua za kuchukua baada ya kung'atwa na nyoka.
Angalia nyoka wa ajabu alichokifanya
ASIMULIA MWANAE ALIVYONG'ATWA NA NYOKA KITANDANI HADI KUFARIKI 'ULIMI ULIBADILIKA RANGI&ap...
Taharuki! Nyoka Koboko avamia nyumbani kwa Mwalimu
ANTONY MICHEZO YA KUCHEZA NA NYOKA IMENIPA MASHABIKI
OMMY DIMPOZ: MIMI NDIO MTANZANIA WA KWANZA KUALIKWA NA MAN UNITED NA KUPOSTIWA KWENYE PAGE YA MAN U
MTWARA NOMA! DUKA LINALALA USIKU KUCHA, HAKUNA MLANGO, HALIJAWAHI KUIBIWA, MMILIKI AFUNGUKA..
Комментарии