SET YOUR SELF A PART - JOEL NANAUKA

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama umebahatika kuisikiliza hii video mpaka mwisho, nakuhakikishia Mungu anakusudi na wewe, hautakufa mpaka ufanikiwe. Trust Me!

knowledgetv
Автор

kitabu cha Yeremia 1:5 "Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nalikujua; kabla hujazaliwa, nalikutakasa, nalikutenga uwe nabii kwa mataifa." Kwa kiingereza inasema "Before I formed you in the womb I knew you, before you were born, I set you apart; I appointed you as a prophet to the nations."

Barikiwa brother

JamesAtilio
Автор

Hongera kaka Joel Kwa kufanya ulichoumbiwa na Mwenyezi Mungu.Keep going...

edwardpeter
Автор

Mr Joel Ukiwa raisi wa nchi, nchi yako itakuwa ya kupigiwa mfano sana.

mpambanaji-mahiri
Автор

Why I’m I listening this now😢ningekua mbali sana

lilianrwegasira
Автор

Hongera sana kaka Joel uko Sahihi barikiwa 🙏🙏

brackskinyozi
Автор

Mungu akubariki sana
Kaka joel nanauka Nimekuwa mwanafunzi wako muda wa miaka sita sasa hakika matunda ya elimu yako nimeyaona na sitoacha kujifunza kila siku

mwakalukwafredy
Автор

This is more than powerful 🔥
Thank you @Joel Nanauka

cyriluskaijage
Автор

Someone somewhere atakuja kuangalia hii 2050 akiwa analia machozi ya damu.

Aviero_
Автор

kk mungu aendelee kkbak uendelee kutusaidia kwel umekuwa msaada sana kwang

FaricevitusiNkane
Автор

Kuna wa2 Mungu amewaumba wawe daraja kuwavusha wengne🤔, , God bless ue Bro

kelvindaud
Автор

Ahsante sana.Mungu azidi kukutunza kaka kwa elimu unayotupatia

annamallya
Автор

"Set your self apart" Ni zaidi ya shule, asante kaka, Bwana Yesu akulinde sana, ww ni tunu kwa vijana wa Taifa hili.Asante sana.

ManswetKimario
Автор

This is Powerful.
Getting it all the way from Nairobi Kenya

derrickwasike
Автор

Asante sana umenifundisha nisioyajua madin mazuri

DottoAmon-bscr
Автор

Ubarikiwe Sana, aidha nakufuatilia Sana, siyo hivo tu elimu yako imenibadilisha Sana.

paulinmachlory
Автор

Kaka mm unanifaa kwenye maishangu kweni Kila siku lazima nikufutiri naninaona sikuku inaenda vizuri mungu atupe afya na uzima nitatufuta

RashmaAbdulla
Автор

Kaka nakufatilia sanaa jmn pia nbarikiwa sanaa na masomo yako unayotoa ubarikiwe sanaa

RehemaPetro-ub
Автор

Asantesana kwa mafundisho mazuri hakikaungu hakukosea kukuleta dunia nawe ukajua nini cha kufanya ubarikiwe . Ninajifunza mengi san kila iitwapo leo kupitia youtube
Sijabahatika kuhudhuria mikutano yako ya mafunzo live ila naamini wakati sahihi waungu ukifika nitashiriki.

furahasweya
Автор

Asante sana ndugu yetu kwatufunza mambo kama aya we love you more

IRADUKUNDALoy
welcome to shbcf.ru