HUWEZI KUWA TAJIRI KWA KUWEKA PESA KWENYE KIBUBU /BANK - KingTb

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Safi sana asante sana kwa kutuelimisha

AnethExavery-qjwc
Автор

Ubalikuw bro km unaniongelea Mimi vile mana ndicho nilichokuw Naenda kukifany next week but now umenifumbua zaidi wacha niweke kwny kibubu tu kwanz 🙏🏻🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️

saidikalama
Автор

Huu ujumbe nilikua nikiusubiri Asante sana nimepata wazo jipya...

yusuphmeshack
Автор

Umeongea kitu kikubwa sana ata Mimi kilishanitokea pia ila sikuwai kujua kiundani mpaka Leo nimefunguka vizuri 🙏🙏

Suleynaismail
Автор

Ongea taratibu na unapumua sana chini ya camera

mussakisope
Автор

Ongea kiswahili kizuri unachanganya na kingereza alafu ufafanui utakosa kampani

NsarieMasawe
Автор

Usemacho ni kweli brother, lakini kutoka kwenye laki 5 mpaka upate milioni 10 kwa njia ya saving (KIBUBU) inaweza kuwa ni ngumu. Assume mtu unasave kwa mwezi, hiyo itakuchukua kama miaka 8 kuifikisha tsh miliono 10. Ushauri wangu, hiyo laki 5 itumike kama MBEGU ambayo ndani ya muda fulani na yenyewe itakuwa imezaa hata kama ni kwa kiasi kidogo kuliko kuendelea kuificha kwenye KIBUBU kwa miaka 8. Kumbuka pia kadili miaka inavyokwenda ndio thamani ya pesa inavyoshuka.

stephanothebig
Автор

Utoto mwingi sana!!! Hiyo laki tano inapatikana kwenye chanzo cha sh ngapi?

bennymao
Автор

Add the Relevant content this one is So Cheap...dwell go deep then comeup

benjaminmasasi
Автор

Binafsi sijaelewa hata kwa ufupi boresha hija vizuri na ujaribu kuelezea sasa ukisema sijui uelezeje hiyo nishida teyar, comment yangu isikuvunje moyo nilifel hesabu ila naweza nikawa mzuri kwenye uchumi natural by Mangi

nikasmartin