filmov
tv
Xouh - Rafiki (Official lyrics Audio)

Показать описание
Official music Audio for #Rafiki by #xouh
Follow Xouh
Listen to Xouh
Xouh - Rafiki lyrics
Skia sound
Jaydrama on the beat
Nina Rafiki yangu kipenzi
Ni ndugu yangu japo sio wa tumbo moja
Tushasaidiana tena zaidi ya mara moja tunapendana kishenzi
Ananijua nami namjua
Hawezi niacha mpweke hata inyeshe mvua
Hapendi niteseke hata niumwe mafua, shida zake shida zangu
Mwanangu sio snitch
Mwanangu alivyo mbishi
Hata nifanye kosa atasema sio mimi
Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Tuna ndugu wasiopenda tufanikiwe
Tuna ndugu wanaotaka tuaribikiwe
Tuna ndugu tusipowasalimia hawatusalimii
Tunasaidiwa na watu wasiotujua
Marafiki zetu wamekua kama ndugu
Ndugu zetu wanasubiri waje msibani kulia. (aiyeeeeh)
Ila Mwanangu sio snitch
Mwanangu alivyo mbishi
Hata nifanye kosa atasema sio mimi
Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
#xouh #Rafiki
Follow Xouh
Listen to Xouh
Xouh - Rafiki lyrics
Skia sound
Jaydrama on the beat
Nina Rafiki yangu kipenzi
Ni ndugu yangu japo sio wa tumbo moja
Tushasaidiana tena zaidi ya mara moja tunapendana kishenzi
Ananijua nami namjua
Hawezi niacha mpweke hata inyeshe mvua
Hapendi niteseke hata niumwe mafua, shida zake shida zangu
Mwanangu sio snitch
Mwanangu alivyo mbishi
Hata nifanye kosa atasema sio mimi
Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Tuna ndugu wasiopenda tufanikiwe
Tuna ndugu wanaotaka tuaribikiwe
Tuna ndugu tusipowasalimia hawatusalimii
Tunasaidiwa na watu wasiotujua
Marafiki zetu wamekua kama ndugu
Ndugu zetu wanasubiri waje msibani kulia. (aiyeeeeh)
Ila Mwanangu sio snitch
Mwanangu alivyo mbishi
Hata nifanye kosa atasema sio mimi
Mwanangu wa faida mnyamwezi, mwanangu wa faida
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
Mwanangu ni msela hana baya
Kumtangaza sioni haya
Ni msele kisela, mchizi kichizi hana mambo mengi
#xouh #Rafiki
Комментарии