Azam FC 0-2 Simba SC | Magoli | NBC Premier League - 26/09/2024

preview_player
Показать описание
Tazama magoli yote ya Simba SC ikiichapa Azam FC kwenye mchezo wa NBC Premier League.

Magoli yamefungwa na Leonel Ateba na Fabrice Ngoma
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

UNAZANI SIMBA tumesha Anza kuupiga mwingi, bado Sana, ndio Kwanza KOCHA anakijenga KIKOSI 😂😂😂😂🤗🤗

josephvenus
Автор

Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

amanmalima
Автор

Hapo goli la Pili Ngoma angepewa mpira na Kibu ndio ingekuwa Off Side ila kwasabab kipa katema ndio off side kaiharibu kipa. Hivyo ilo ni goal halali kabisa 🙌🔥💯

shanatatrigger
Автор

je suis le championnat Tazanien depuis Senegal 🇸🇳
Je suis d'origine guineen et je supporte Simba de Moussa Pepin Camara
Ce championnat est merveilleux

bahibrahima
Автор

Chagua moja uwe shabiki wa Simba au uwe shabiki wa Diddy😂😂😂

MohdOmar-wr
Автор

Imeandikwa usimjaribu bwana mungu wako😂😂😂😂😂

PeacefulSheep-seoz
Автор

Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako😁😁wa Tanzania 🇹🇿 mnanipaga raha sana from 🇨🇩🇺🇸

jeanpaulluanga
Автор

Hii team sio yakushangilia wakati umeshiba chakula cha mama ntilie, , njaa lazima ikupige tehna maana unashangilia hadi chakula kimeisha tumboni, , na ukishangilia kabla haujala mmmh lazime uzime kwa furaha, , mmmh changamoto

draxeraudax
Автор

Sawa ila hamuogopi Azam ndio levo zenu nasio YANGA Afrikan tunasubili kuwap kidonge Cha 4 yaan four doz

daudharoun
Автор

Kuna kiumbe kina itwa Ibwe, sijui kinakunywaga uji wa UNGA wa muogo kabla haja fanya interview, hua kina ongea Kama mgonjwa mpya wa Sober...

albertlambert
Автор

Ma Feisal tuna mchukua dirisha dogo. Msituaribie kiwango Cha mchezaji wetu.

albertlambert
Автор

*haya tumekubari goli la pili ni ofside ubao moja bila, na mechi ya vyura tuweke lile gori la ken gold itakuwa moja moja ahahahahha*

shadrackjuliuskaboya
Автор

Mhh huyu jamaa ateba atawafunga sn makipa, km mabeki hawatajifunza namna ya kumkaba, anajua kujiposion na anapenda kukaa pembn ila akiunasa mpira mguuni anaingia ndani kilifesi goli

hammerymachogu
Автор

Yaan hapo Simba Bado sana ndo kwanza kama ni nyumba ipo kwenye foundation

LydiaMacho
Автор

Lionel ateba mbida hazuiliki atakuwa mvp msimu huu

AffectionateAlpineVillag-xeqo
Автор

Kumbe ni muhimu sana striker kuwa na Nguvu.

NtamamiloGibson
Автор

Usijitoe ufahau wakati unaakili timamu😂😂😂😂😂😂

Failuna
Автор

Simba hongereni kwa kushinda Azam kongole kwa mpira mzuuri hasa Ankamico ila Yoro diaby bora hata kiibwana ataniisaidia na yanga yangu.

IzackMakole
Автор

JAMAN MCHOME MUKAMUHOJI TUJUE YEYE NI SIMBA AU YUKO UPANDE WA DIDDy🤣🤣🤣.

kakorejrboyz
Автор

Hii ndio simba Azam wakauze ice cream walikimbilia Zanzibar wakasema wamejificha

Asaf-jo