AJALI YA BASI LA SUPER FEO EXPRESS ENEO LA HULIA WILAYANI TUNDURU.

preview_player
Показать описание
Basi la Kampuni ya Mabasi ya SUPER FEO EXPRESS linalofanya safari zake kutoka Mkoani Songea kwenda Jijini Dar es Salaam limepata Ajali eneo la#Hulia wilayani Tunduru likiwa linatoka Mkoani Songea leo asubuhi

Kwa Taarifa za Awali hakuna Vifo ila kuna majeruhi kwa Abiria wa basi hilo
poleni sana #Abiria pamoja na Uongozi mzima wa @superfeoexpress

#tanzaniabusesdaily #tanzania #ajali #barabarani #songea #Tunduru
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Pole sana mdogo wangu Halima ma Abiria wako...mungu awape tahafif

rehemaamry
Автор

Poleni sana ila mtangazaji unazingua unaongea kama huna meno

hajingangila