AJALI MBAYA! BASI LATUMBUKIA MTONI LIKIWA NA ABIRIA 21...

preview_player
Показать описание
AJALI MBAYA! BASI LATUMBUKIA MTONI LIKIWA NA ABIRIA 21...

Mkosi mbaya umetokea huko katika Mto Nyambera Kaunti ya Kisii nchini Kenya baada ya basi la abiria kutumbukia mtoni likiwa limejaa abiria.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Kenya, basi hilo lenye jina maarufu la Guardian Angel lilitumbia mtoni na kuibua taharuki ya aina yake.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме