filmov
tv
AJALI DAR: BASI la BURUDANI LAGONGANA na DALADALA MBEZI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI....

Показать описание
AJALI DAR: BASI la BURUDANI LAGONGANA na DALADALA MBEZI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI....
Basi la Kampuni ya Burudani lilikuwa likitokea Tanga kwenda Dar es Salaam limeacha njia na kuparamia vyombo vingine vya usafiri ikiwamo magari matatu, pikipiki tatu na bajaji tatu.
Ajali hiyo imetokea leo Aprili 8, 2023 katika eneo la Kibamba Luguruni jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mashuhuda, basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi hivyo wakati likijaribu kulikwepa gari dogo lililokuwa linaingia barabarani, likapoteza mwelekeo na kuhamia upande wa pili wa barabara na kugonga daladala na bodaboda.
Bado hakujatolewa taarifa za aliyepoteza maisha kwani majeruhi wamewahishwa katika Hospitali ya Poshi iliyopo jirani na eneo hilo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
Basi la Kampuni ya Burudani lilikuwa likitokea Tanga kwenda Dar es Salaam limeacha njia na kuparamia vyombo vingine vya usafiri ikiwamo magari matatu, pikipiki tatu na bajaji tatu.
Ajali hiyo imetokea leo Aprili 8, 2023 katika eneo la Kibamba Luguruni jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mashuhuda, basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi hivyo wakati likijaribu kulikwepa gari dogo lililokuwa linaingia barabarani, likapoteza mwelekeo na kuhamia upande wa pili wa barabara na kugonga daladala na bodaboda.
Bado hakujatolewa taarifa za aliyepoteza maisha kwani majeruhi wamewahishwa katika Hospitali ya Poshi iliyopo jirani na eneo hilo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
AJALI DAR: BASI la BURUDANI LAGONGANA na DALADALA MBEZI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI....
Ajali ya basi la burudani na Costa hapa buguruni.
#BREAKING: BASI la NGASERE LAPATA AJALI DODOMA - NUSURA LITUMBUKIE KWENYE DARAJA.....
BODABODA MWENYE ROHO MBAYA APATA AJALI HII FUNDISHO
AJALI TENA! BASI la ESTHER LUXURY LAGONGA BAJAJI MORO, LAJERUHI WATANO, KAMANDA ATAJA CHANZO...
BASI LAGONGANA na GARI LA POLISI MORO, MTUHUMIWA AFARIKI DUNIA, WENGINE WAJERUHIWA...
#BREAKING: BASI la NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA, LAUA na KUJERUHI WATU NJOMBE...
AJALI YA BASI LA SAIBABA EXPRESS KUMVAA GARI AINA YA COASTER ENEO LA CHIMALA, MBEYA.
AJALI MBAYA ILIVYOUA LEO DAR/KAMANDA MAMBOSASA,RC WATOA MAAGIZO HAYA 'DEREVA JEURI'
AJALI MBAYA YA BASI LA ABIRIA NA VITS, MASHUHUDA WASIMULIA 'KULIKUWA NA MLEMAVU, TUMEVUNJA MLAN...
#BREAKING: BASI LA MSIGWA EXPRESS LATUMBUKIA MTONI NA ABIRIA 45 LIKITOKA MPANDA KUELEKEA MBEYA...
BASI la ZAKARIA LIMEPATA AJALI ya KUGONGA na KUUA NG'OMBE WAPATAO 35, LIKIWA LINAELEKEA KITETO....
Ajali ya basi la kapriconi Leo hap mikese morogoro
AJALI DAR BASI LA MWENDO KASI LAGONGANA NA NOAH
BASI la DODOMA JIJI LAPATA AJALI LIKIWA na WACHEZAJI - LATUMBUKIA KWENYE MAJI NANGURUKURU...
#BREAKING: MMILIKI wa MABASI ya SAULI AFARIKI kwa AJALI MBAYA - MWANAYE ANUSURIKA - KAMANDA AELEZA
😭Ajali! Basi la Frester Laua Watu 2😭💔😭 #live #globaltv #shortsvideo #trendingvideo #viralvideo...
AJALI TAZARA: DALADALA LAGONGA BODABODA, MASHUHUDA WASIMULIA
39 wafariki katika ajali ya basi Senegal
BASI LA #ALLY_STAR_BUS LATEKETEA KWA MOTO MKOANI SINGIDA.
#BREAKING: BASI LA KILIMANJARO LAPATA AJALI MBAYA SONGWE, WATU WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA...
#BREAKING: AJALI NYINGINE MBEYA - WATU 8 WAFARIKI PAPO HAPO - BASI la ABIRIA LAPINDUKA...
#BREAKING: MMILIKI wa MABASI ya TASHRIFF AFARIKI DUNIA WAKATI AKIFANYA IBADA TANGA...
BASI la ABOOD LAPINDUKA, LILIKUWA LINATOKA MBEYA KWENDA DAR, WATANO HALI MBAYA...
Комментарии