BAADA YA NDOA -By Zabron Singers(SMS SKIZA 6680542 TO 811)

preview_player
Показать описание
#baadayandoa
@ZabronSingers
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Naoa mwaka huu nimeupenda huu wimbo ndio nitaingia nao Ukumbini Mungu nisaidie Ameen ❤❤❤

NicholausMziray
Автор

kujeni huku mpite na likes. the song was released on my birthday. big up zabron team. This was dedicated to me

odhiamboedwinokaka
Автор

Mmebarikiwa sana nyie watu wa Mungu.... Kazi yenu njema sana

ambweneobadiamwasongwe
Автор

Nipeni like namie jamani mkongo nimecomment niko Marekani

JulieMangah
Автор

Nyiee this people are amazing, , , , after walipata ile awards kupitia nyimbo ya sweety sweety wakatuahidi new wedding song, ,leo hii hapa, , , Mungu awabariki zabron singers

anzazichaka
Автор

Kenyan president, Dr. William Ruto, must be smiling watching your song! Much love from Kenya🙏🙏

ronaldkosgei
Автор

From Kenya watching zabron singers nipeni likes leo aki🥰🥰

brysonmwakina
Автор

Sheiy king here from Msanii music group watching

sheiykingtv
Автор

Ningependa niimbiwe uu wimbi siku ya sherehe yangu ya ndoa, mungu niwezeshe

roserotich
Автор

Nimewapenda thanks thanks so much 😍😍🥰🥰😋😋🤩🤩

gracemahushi
Автор

I love your voices especially this woman who sing baada ya ndoa 👌just excellent

snaidaachingwa
Автор

Nimerudia sijui Mara ngapi, uwiii baada ya ndoa twende kanisani pamoja Baby 🎹🎹Mungu awatunze watumishi wa Mungu

emilianapaskal
Автор

Yaaani mnataka niolewe ndo nianze kusema baada ya ndoa😂this is hot🔥

carolcharles
Автор

After your your performance at Kasarani 🇰🇪🇰🇪now I’m so obsessed with your songs 🥰🥰🥰🥰🥰🥰 love you from Kenya.

shaaa
Автор

Wimbo mzuri sana. Comment yangu ni ya 1, 001, yaani ni ya 1 baada ya comment 1, 000, gonga like 2023

lusajo
Автор

wow this song is Amazing...wow wow yaani nali fata kila siku, tena hiyo melody yenu ni mzuri mno.

samuelntumulo
Автор

Let's appreciate our fellow brothers and sisters for this amazing song. More likes from Kenya 🇰🇪, Tanzania and Uganda!❤️❤️❤️#emmanuelbrownke

emmanuelbrownofficialke.-n
Автор

Jaman kifo hiki xiamin kwamba Marco ha2po naye tena 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 lala salama mtumishi wa Mungu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

DianaMwamatepela
Автор

Nipeni like jamani mkenya wa kwanza kucomment 🇰🇪💃🤸🏻‍♀️

tabbywamtz
Автор

Nice song I really love ❤this song and enjoy playing it .
Mbarikiwe sana #zabron singers

dukemnyakundi
join shbcf.ru