Jinsi Ya Kumbeulisha /Kucheulisha Mtoto Mchanga! (Njia 2 ZA Kutoa Gesi Tumboni Kwa Mtoto Mchanga).

preview_player
Показать описание
Gesi tumboni kwa Mtoto mchanga,Mtoto mchanga kulia mara kwa mara, Mtoto mchanga kujinyonga tumbo,Mtoto Mchanga kujamba jamba na Dr.Mwanyika

Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii

Jinsi ya kupnguza Mate Mengi Mdomoni kwa Mama Mjamzito

Je Mjamzito anaweza kula Mayai katika kipindi cha Ujauzito??

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi?

Sababu za maumivu ya kubana kwenye miguu ktk kipindi cha Ujauzito

Je Kujinyoosha Kwa Mama Mjamzito Kuna Madhara Gani?? (Madhara Ya Kujinyoosha Sana Kwa Mjamzito) bonyeza link hapa

Sababu ya Maumivu ya kiuno au sehemu ya chini ya tumbo miezi mitatu ya mwishoni (Wiki 32,33,34 hadi 36 bonyeza link hii

Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii

Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii

Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha?

Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito

Dalili za mimba kwa baba kijacho

Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini?

Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi.

Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito.

Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito?

Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati

Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇

Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇

Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka;

Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa.

Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia?

Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa!

Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito.

Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito

Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni

Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii

Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram

Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

#GesiTumboniMchanga
#MamaAfyaBoraApp
#DrMwanyika
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu akubariki Dr nashukuru Mungu nimejifungua salama, asante kwa mafundisho yako mazuri be blessed

neemambelele
Автор

Upo vzr sana Dr nmeangalia your videos since I'm pregnant until now i have a babe but still watching thankfully for you

theodorateofrid
Автор

Asante Dr nimejifunza masomo yako toka nina mimba nimejifungua salama mungu akubarik uendelee kutufunza 🙏

SophiaZuberi-uv
Автор

Mungu akubariki sana Dr.Mwanyika, elimu nzuri sana

anselmokidaboma
Автор

Kuuumbeee!! Asantee asantee sana Dr 🙏🙏 nimekuelewa vizuri 👏👏

miriamkarata
Автор

Jamani mtoto wa dr 👨‍⚕️ mmemuona 😂 hongera doctor na asante kwa somo ubarikiwe

SADEE._
Автор

Asante sana doctor hiyo Hali inamtesa mwanangu

deborahnakei
Автор

Asante sana dear Doctor Mwanyika kwa video zako nzuri .

fazilarebecca
Автор

Habari doctor.najitahidi sana kumbeulisha ila anapeuwa mara chache SIKU zingine habeuwi Nini shida doctor

berthabanyanka
Автор

Asante doctor nmejfunza mengi kwa kuskilza masomo yako ubarikiwe

FurahinMbilinyi-iopt
Автор

Asante Dr nimejifunza mengi tangu ujauzito now nina kachanga

stamilabel
Автор

Asante dr.mwanyika kwa SoMo zuri nimejifunza kitu.ila naomba nisaidie mwanangu anaelekea umri wa wiki 3 Sasa ikifika usiku analia hatulali mpaka pale atakapo cheuwa Yale maziwa alo nyonya na anacheuwa maziwa mengi mpaka yanatokea puani inanitia hofu sana hii Hali nifanyeje doctor 🙏🙏🙏🙏

mlotwaboy
Автор

Asante sana daktari nmejifunza kitu kipya..Mungu amekufanya baraka kwetu ubarikiwe sana

tatuadammweibondo
Автор

Asante nmekua mfutiliaji tok na mimba ya week 15 mpk Sasa nmejifungua na week 3 bado nakuftlia ongela kwa kazi mzuli

Salmaally-md
Автор

Asante doctor mungu akupe maisha marefu

orestelleopord
Автор

Habar doctor mtt wangu ana wiki Tatu sasa kila Mara amekua akirudisha maziwa yanatokea mdomon na puani yaan kila anaponyonya akikaa muda kidg bac iyo hali inatokea je nini shida naomba kujua tafadhali

NeemaSebastian-zg
Автор

Asante sana swali langu akiwa Amelala mtoto na Anahitaji kunyonya ni nitamcheulishaje na wakati anausingiz

mainesmwampamba
Автор

Dr samahani mtoto wangu akicheua maziwa yanamtoka hadi kwa pua je hii ikoje ni sawa au sawa

HappyTimoth-kqkw
Автор

Asante dr kweli tulikuwa tunaweka tu begani na kumpgapga mgongon

emmyJuly
Автор

Dr. Mimi mtoto wangu ana miez 2. Kasoro anasumbuliwa sana na tumbo. Kuna dr kanishauli nikamnunulie Mp clox. Je nisawa docter

DiogoCoster