Je Mtoto Mchanga Chini Ya Mwaka 1 Akinywa Maziwa Ya Ng'ombe Huwa Na Madhara Gani??.

preview_player
Показать описание
Maziwa ya Ng'ombe kwa Mtoto Mchanga, Madhara ya Maziwa ya Ng'ombe kwa Mtoto Mchanga Chini Ya Mwaka 1,Maziwa ya Kichanga, Kunyonyesha Kichanga, Unyonyeshaji kwa Vichanga na Dr.Mwanyika.

Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii

Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram

Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

#MaziwaKwaKichanga
#drmwanyika
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante sana doctor 🙏 Mungu azidi kukubariki mnoo unatuokoa kwa kweli

lovenessmushi
Автор

Asante docter Mungu akubariki nimekifunga mengi toka nina ujauzito, mpaka leo nina kababy boy.

jumabakari
Автор

Asante sana doctor 🙏🏻 kupitia wewe nimejifunza vitu vingi sana kuanzia ujauzito mpaka sasa nimejifungua salama na mtoto anamwezi na week mbili. Barikiwa sana Endelea kutufunza.❤️🫶🫶

mourinebey_kenya
Автор

Asante Sana dokta umenisaidia Sana nimepata changamoto maziwa hayatoki nikamuazishia maziwa akiwa na miezi minne he nikimpikia kwenye uji yatafaa

fatumaabduly
Автор

Dokta mm naomba kuuliza mtot wangu ameacha kunyonya lakini nashangaa maziwa yangu ayajajaa at kidogo sasa sajajua shid nn

FaymarAbduli
Автор

Samahan doctor je haya maziwa ya lactogen ya south africa hayana shida kwa mtoto?

nasraswaleh
Автор

Samahan dokta mm CNA maziwa ya kutosha Yani hashibi sasa nmemuanziahia laktogen namba1 namnyonyesh lakwangu masaa mawl yote mawl analia bado namuongezea na lactogen na Huwa Nampa Kila baada ya masaa mawl je yupo ataln mana ana mwez1 nawiki3

tessctv
Автор

Habari doctor mtoto wangu hana miezi saba nivyema Kumpatia maziwa ng, ombe

AsiaPaulo-ox
Автор

docter samahn mi sina maziwa ya mtoto kuwez kushiba na mwanangu ana miezi mitatu nikaanza kumpa maziwa ya ng'ombe vijiko 2 usiku anapolala na nimempa mara mbili joto kichwani likawa kali na kutoka jasho nimempeleka hospital nmeambiwa anakipanda uso na damu yake inapungua nikapewa daw lakin mabadiliko nikidogo naomb ushauri wako docter

DianaTeshaly
Автор

Samahan tena na lactogen ni ya Ng, ombe naomba unijibu nmeogopa sana niwe na amani dokta nshauli nifanye nn

tessctv
Автор

Dr mwanangu nlimwanzisha maziwa ya ngombe akiwa na miez mitatu kasoro na sasa ana miez mitatu na wiki mbili. Anaweza kupata shida? Na kama ndio nfanye nn asje akadhurika badae kwakua nishamuanzishia tayar

jenifferassenga
Автор

Asante docta Kwa huduma njema nauliza mtotowangu alizaliwa na kitovu kidogo sikuzinavoenda kitovukinaongezeka shidaninini

olivermwabless
Автор

Kabisa Dr mwanangu alipatwa na shida hyo ya damu na upungufu wa madin chuma baada ya kuanza kutumia maziwa ya ng'ambe

jacquelinemhecha
Автор

Docta, naweza kutumia maziwa gani kwa uji wa mtoto wa miez sita?

judithakyoo
Автор

Doctor mwanangu ana miezi mitatu Huwa Nampa maziwa ya ngombe Kisha natoka kazini saa 6 naendelea kumnyonyesha mpaka asubuhi Tena je atapata madhara??

TumainiUrio-ko
Автор

Habari doc mm nina mtoto ana mwezi lakini hanyonyi vzr nimempa maziwa ya nan haina shida ama pia na mnyonyesha

SamiraSalim-qe
Автор

Samahani doctor mtoto wangu ana miezi mitatu hii ni mara ya pili anakunya mavi magumu na yanavutika kama gundi je ni tatizo gan

FaustineOgweno
Автор

maziwa ya fomula kwa mfano lactojen yana skari nyingi sana je hayana madhara kwa mtoto maana mtoto chini ya mwaka mmoja hatakiwi sukari

MamyNevel
Автор

Doctor mwanangu anamienz miwili maziwa yangu hayamtoshi nimpe nin?

hanianchimbi
Автор

doctor mm nimejifungua jana sina maziwa kabisa nimpatie nini mtoto nikiwa nafanya utaratibu kuhakiki maziwa yangu yanatoka

IRENEMWAKIPESILE-sy