Njia 6 Za Kumpunguza Kwikwi kwa Kichanga! (Fanya hivi Kupunguza Kwikwi kwa Kichanga Wako).

preview_player
Показать описание
Kwikwi kwa Mtoto Mchanga, Njia za kupunguza kwikwi kwa Kichanga Wako na Sababu za Kwikwi na Athari za Kwikwi kwa Kichanga Wako.

Bonyeza link hii hapa chini ili kusubscribe channel hii

Jinsi ya kupnguza Mate Mengi Mdomoni kwa Mama Mjamzito

Je Mjamzito anaweza kula Mayai katika kipindi cha Ujauzito??

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi?

Sababu za maumivu ya kubana kwenye miguu ktk kipindi cha Ujauzito

Je Kujinyoosha Kwa Mama Mjamzito Kuna Madhara Gani?? (Madhara Ya Kujinyoosha Sana Kwa Mjamzito) bonyeza link hapa

Sababu ya Maumivu ya kiuno au sehemu ya chini ya tumbo miezi mitatu ya mwishoni (Wiki 32,33,34 hadi 36 bonyeza link hii

Sababu za kutoka Maji Ukeni ktk kipindi cha Ujauzito bonyeza link hii

Dalili mbaya kwa Mjamzito/Dalili za hatari kwa Mjamzito bonyeza link hii

Je Mtoto kucheza kushoto na kulia ni Mapacha?

Je Uzito kupungua kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Je Dalili gani za Mtoto kugeuka Tumboni mwa Mjamzito

Dalili za mimba kwa baba kijacho

Je Njaa kali kwa Mjamzito na katika kipindi cha Ujauzito husababishwa na Nini?

Je maumivu Ukeni kwa Mjamzito husababishwa na Nini?

Jinsi ya kugeuka na kulala kitandani Mjamzito mwenye Tumbo kubwa Sana au Mimba kuanzia miezi mitano na zaidi.

Je Sababu gani hupelekea Mjamzito kuchoka sana katika kipindi cha Ujauzito.

Je Mjamzito anaruhusiwa kula PILIPILI au PILIPILI huwa na madhara kwa mjamzito?

Je vihatarishi vipi hupelekea Mjamzito kuwahi kujifungua kabla ya wakati

Je sababu gani hupelekea kuchelewa kujifungua kwa Mjamzito? Bonyeza link hii hapa 👇👇👇👇

Kwa nini Mimba ya kiume Mjamzito huchelewa kujifungua? sikiliza 👇👇

Jinsi ya kupata Mtoto wa jinsia unayotaka;

Dalili za Mimba ya jinsia ya kiume bonyeza link hapa.

Mjamzito mwenye Damu group O na mume mwenye group A au B mimba huweza kuharibika pia?

Je madhara ya kuchelewa kujifungua ni yapi? bonyeza link hapa!

Sababu zinazipelekea Mtoto kucheza sana Tumboni mwa Mjamzito.

Fanya hivi ili kupata usingizi wa kutosha ktk kipindi cha Ujauzito

Sababu za Mtoto kupunguza kucheza au kuacha cheza Tumboni

Faida ya Asali kwa Mjamzito bonyeza link hii

Unaweza kujifunza masomo kupitia Instagram

Nifuatilie kwenye website hii kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Nifuatilie kwenye Facebook page kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

Usisahau kudownload app ya Mama Afya Bora kwa ajili ya Mambo ya Ujauzito.

#KwikwiMtotoMchanga
#MamaAfyaBoraApp
#DrMwanyika
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Habari doctor, utosi wa mtoto wangu hauchezi kuna shida yoyote.

dhinatsimbano
Автор

Dr Habari, mimi mwanangu habeuwi kwa kutoa maziwa, tangia amezaliwa ana week moja sasa anacheuwa kama mtu mzima tu, namwek began robo saa lakini anacheuwa bila kutoa maziwa, tumbo linamnyonga sana akiwa anajisaidia, naomba msaada nimefanya njia zote kwa kufata maelekezo yako lakini bado imeshindikana

phinaswai
Автор

Habari doctor mtoto wangu nimemzaa miguu imepinda kama Ina matege nifanyeje miguu ikae sawa

kulwachama
Автор

Habari naomba nisaidie njia za kumsaidia mtoto anaekula michanga, mkaa, Michele na udongo na hana hamu ya kula

SiaelMangia
Автор

Doctor mtto wngu sah ana week 2 jee naweza mfanyia haya maana hua anafnya kwikwii sana

SukeynaabdallahomarCutesakuu
Автор

Mie doctor wangu jmn Mungu akupe afya na umri mrefu najifunza mengi Sana kutoka kwanza na HV n ujauzito wa kwanza

gracemanyilizu
Автор

doctor samahan mtot wangu ana miezi miwili shingo yake aijakomaa bado je nikawaida

TamalMahona
Автор

Doctor mtoto wangu Bado siku Moja atimize mwez napenda kumpa chuchu bandia je Ina madhara yoyote

saracastor
Автор

doctor mm mwanangu ana siku 25 Sasa ila anatatizo la kutapika shida ni nn nisaidie tafadhali

MwajumaAbdallah-jnuh
Автор

Doctor mimi mwanangu anamiez mitano ila bad Chang ninamsumbua nimetumia dawa mpk nakata tamaa tumbo likimuuma anachemka mwili wote

nasranasoro-
Автор

Docta wangu anakataa kunyonya nimeanza kumpa maziwa ya kopo please nipe namba yako

janemakoye
Автор

Kwikwi kwa mtoto mchanga inatakiwa ikae ndani ya dakika ngapi

lisserrashid
Автор

je ni vyema kumtoa mtoto mchanga asubuh kwa ajil ya kupata jua

OmaryKifundo
Автор

Doctor hivi Gripwater inaweza kuleta maambukizi gani kwa Mtoto? Napenda kujua

enezermwafrica
Автор

Jee kumpa dawa ya bonsan kwa kuondoa ges ni sawa au siyo sawa

hemedsalummbarouk-ugnx
Автор

Doctor me nilienda kwa kumwona Doctor wakat mtoto anasumbuliwa na gess tumboni nikiwa nahiyo chuchu bandia alinigombeza Sana akasema icho nacho kinachangia mtoto kupata gess maana anakuwa ananyonya hewa inajaa tumboni

jescalaurent
Автор

Doctor abar za asubuh naomba kuuliza mtt wa mwaka mmoja na miez kumi ana kilo 13 unampa Panadol ngap?

rehemasaid
Автор

Asante Sana Dr,
Mimi mtoto wangu Ana Siku tatu ila Ana lala saana hata kunyonya namu amsha nauluza ni kasaida?

shifashifat
Автор

Dr, Mtoto wangu ana miez miwili lakin ukimveba begani ukiwa kama unamcheulisha hupenda kubinua kichwa yaan anaangalia juu kutakua na shida

janethjojo
Автор

Hyo chuchu bandia anawekewa kwanzia mtoto wa umri gn

luciadaniel