Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 09/08/2024

preview_player
Показать описание

#BBCSwahiliLeo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Nawapata mubashara nikiwa luansha Zambia

xcvfttz
Автор

Kinachoni Chukiza, pale nakuta Sauti ya Makaribisho yame badilishwa. Hatari sana tena Mfumo wa kuPeperusha Matangazo

JacobZawadi
Автор

Jameni before mutangaze fanyeni utafiti kwanza huyu bingwa wa Botswana 🇧🇼 hapo huja sema ukweli wakwanza ni Frankie Fredericks winning 2 silver medals from Namibia 🇳🇦 1996

loyaltytv
Автор

Huyu yukrane sasa ataipata sawa sawa

Atamalizwa moja kwa moja

pavillioncry
Автор

Tuko pamoja ndiye afande Paulo Muvumba kutoka Pahari ya Uganda Mbarara

JosephJunda
Автор

Mimi bbc namfahamu vzr ni mdau toka miaka 2000 nawajua vzr

faisalikabarabara
Автор

Jamani tuwe makini. Mimi natokea AFRICA mashariki

lucasmollel
Автор

Sayansi ipi bro Filbert ilhali wakenya uliowatikisa 1974 wanafanya vema kwenye mazoezi yayo hayo hata leo mkashindwa kuwaandaa wa kwetu ipasavyo wasifikie rekodi yako!!!

peterbayo
Автор

Wanajeshi wote waliotumwa zaidi ya elf1 wameshauliwa nyny bado mwatuficha

mohamedbedui
Автор

Hakuna watu wa ongo kama vyombo hv vya magharibi hasa Dw, VOA, BBC. Kuweni wakweli tu

WilbertChambilo-ylkc
Автор

Tunashukuru kwa matangazo, ila SAUTI TUNAOMBA IONGEZEWE

godefroidm
Автор

Filbert uko sahihi kabisa porini vijijini wapo watu wanakimbiza upepo balaa.

Lemalali
Автор

Kumekucha jumamos leo baadhi ya nchi kuomba sampuli ya nafaka zisizo na kemikali ikiwemo, uganda, Congo,& burundi ili kuomba ujuzi nao wa uhifadhi wa nafaka bira kutumia kemikali kali

ManaseBuhanza-cllc
Автор

Vorecano tena kutoke uganda wananchi na rais kutaharuki vikali tukio hilo na kusambabisha vifo zaidi wakazi 250

ManaseBuhanza-cllc
Автор

Russia imepigwa imesskia uzito ya Ukraine, they thought watapiga Ukraine na 2weeks wapi 1 year down the line, russia wamepigwa imekaliwa ngum kaka wacha waskie vle wengine wanaskia

doubletapkama