Kinachoni Chukiza, pale nakuta Sauti ya Makaribisho yame badilishwa. Hatari sana tena Mfumo wa kuPeperusha Matangazo
JacobZawadi
Jameni before mutangaze fanyeni utafiti kwanza huyu bingwa wa Botswana 🇧🇼 hapo huja sema ukweli wakwanza ni Frankie Fredericks winning 2 silver medals from Namibia 🇳🇦 1996
loyaltytv
Huyu yukrane sasa ataipata sawa sawa
Atamalizwa moja kwa moja
pavillioncry
Tuko pamoja ndiye afande Paulo Muvumba kutoka Pahari ya Uganda Mbarara
JosephJunda
Mimi bbc namfahamu vzr ni mdau toka miaka 2000 nawajua vzr
faisalikabarabara
Jamani tuwe makini. Mimi natokea AFRICA mashariki
lucasmollel
Sayansi ipi bro Filbert ilhali wakenya uliowatikisa 1974 wanafanya vema kwenye mazoezi yayo hayo hata leo mkashindwa kuwaandaa wa kwetu ipasavyo wasifikie rekodi yako!!!
peterbayo
Wanajeshi wote waliotumwa zaidi ya elf1 wameshauliwa nyny bado mwatuficha
mohamedbedui
Hakuna watu wa ongo kama vyombo hv vya magharibi hasa Dw, VOA, BBC. Kuweni wakweli tu
WilbertChambilo-ylkc
Tunashukuru kwa matangazo, ila SAUTI TUNAOMBA IONGEZEWE
godefroidm
Filbert uko sahihi kabisa porini vijijini wapo watu wanakimbiza upepo balaa.
Lemalali
Kumekucha jumamos leo baadhi ya nchi kuomba sampuli ya nafaka zisizo na kemikali ikiwemo, uganda, Congo,& burundi ili kuomba ujuzi nao wa uhifadhi wa nafaka bira kutumia kemikali kali
ManaseBuhanza-cllc
Vorecano tena kutoke uganda wananchi na rais kutaharuki vikali tukio hilo na kusambabisha vifo zaidi wakazi 250
ManaseBuhanza-cllc
Russia imepigwa imesskia uzito ya Ukraine, they thought watapiga Ukraine na 2weeks wapi 1 year down the line, russia wamepigwa imekaliwa ngum kaka wacha waskie vle wengine wanaskia