Diamond Platnumz - Mapenzi Basi (Official Audio Song) - Diamond Singles

preview_player
Показать описание

Listen & Share "Mapenzi Basi (Diamond Singles)" audio song by Diamond Platnumz.
Follow me on twitter: @diamondplatnumz
Subscribe to My Channel

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

It's January 2024 still listening to this masterpiece, shout out to Diamond platnumz fans❤

giftmsowoya
Автор

Kama umekuja rudia Album ya Simba 2024, yenye nyimbo ya Nenda kamwambie ya Sarah like hapa

Mohaa
Автор

Waaa stress za mapenz zimenifanya nije nisikilize hii nyimbo, , najua kuna wengne mko kwa hii hali😢😢

rachelracher
Автор

It's never get old 2023 and still rocking 🔥🔥🔥

jactoneotieno
Автор

Bado Inaniliwaza😢😢😢who's here with me in 2020??

arynxbaba
Автор

Daaaah wakati huu wimbo ukitoka nilikuwa na heartbreak nilikuwa naupenda sana kweli yani kilakitu anachosema ndokilinitokea mapenzi Shikamooo nilikoma

missfahimakenya
Автор

For the first time nmeachwa na mpenzi wangu nikaikumbuka hii ngoma mond ka uliniimbia mm huu wimbo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🥺🥺🥺🥺💔💔💔

Kinungatv
Автор

I'm here 2024, July 25 mapenzi haya jamani😭😭😭😭😭😭

Raywambui
Автор

Leo nmejikuta naimba sana hii nyimbo kma mweu😢

Clever
Автор

Tulio sikiliza 2021..mwanzon tugonge like tujuane nyimb hii haiish utamu

angeldaud
Автор

This was a song that touches the innermost feelings still does

mercywangari
Автор

This is crazy, I just want to tell you
How badly my heart is broken
This is absolutely painful for me to say this, damn

Mie mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi basi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi basi sitaki

Yalinifanya nikaugua
Mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Oh sikulala, sikulala

Oh maradhi nikaugua oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua
Sikulala

Yani hayo mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nishagombana nikatukanwa
Lakini akanipiga teke, ai

Haya mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nikagombana
Usiku mchana, yeye

Mi mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi basi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi basi sitaki

Oh nilishagombana na mama mzazi
Akataka nimwagia radhi
Sababu yule fulani
Yule wamoyo wangu

Yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa simba na panzi
Vurugu kwa majirani
Ai eh Mola wangu

Yani hayo mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nishagombana nikatukanwa
Lakini akanipiga teke, ai

Hayo mapenzi bwana hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nikagombana usiku mchana
Yeye

Mi mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi basi sitaki
Oh mwenzenu tena basi
Oh mapenzi sitaki
Oh mwenzenu tena basi

updysamadgodey
Автор

Wenzangu na meme wa mwisho wa mwako wa 2019
Gonga like Kama unaamini hii ngoma haiishiwi thaman hata cku moja

mapouderclassically
Автор

Unaweza mtu ukampenda ila yy hajui thamani yako 😭😭😭😭😭

gurnihal
Автор

Mpenzi hayana mana ni kweli dungu yangu allahu akbar mapenzi ya kweli ni ya mungu mpenzi ya mungu ni ya kweli ya wanadamu hayana mana manake kuna siku atakusubuwa roho yako na utaliya basi kweli hayana mana

saandiyamusilm
Автор

Hata na hapa marekani(USA)tunakupenda God bless you dunia nzima inakujua kaka who is still with me 2019 gonga like hapa chini

charitekato
Автор

2022, am still listening 🎧 to this song 🎧❤️❤️

queenmosha
Автор

"When you're happy in love you enjoy the melody😃 but when you're sad you understand the lyrics!!!😪 much love DPlatnumz

just.elhadji__
Автор

Mara napanga wakipangua...ikawa heartbreak 💔 memory 😢

phanuelnjira
Автор

Just legendary 🙏🏾 Timeless 🙏🏾 May God touch those going through the difficult journey of love 🙏🏾

cfamconcepts