MAUAJI: MTOTO wa MIAKA 7 AUAWA na ANAYEDAIWA Kuwa KAKA YAKE, AKASEMA - 'BADO NITAUA WENGINE'

preview_player
Показать описание
MAUAJI: MTOTO wa MIAKA 7 AUAWA na ANAYEDAIWA Kuwa KAKA YAKE KISA CHAKULA...

Mwanafunzi Jescal Charles Madeha (7) wa shule ya msingi Partimbo Wulayani Kiteto Mkoani Manyara ameuawa na mtu anayedaiwa kuwa ni kaka yake wakati akila chakula

Tukio hilo limetokea mwanzoni mwa wiki hii muda mfupi baada ya mwanafunzi huyo kutoka shule kisha kuomba Chakula na kupatiwa ghafla akaibuka kaka yake ambaye ailidaiwa kuwa na wivu kwanini anapendwa zaidi na wazazi wake kuliko yeye ndipo akamuua kwa kumkata kwa hengo kichwani

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)

⚫️ OUR PLAYLISTS:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Sasa na yy akapendwe magereza na wafungwa wenzake Mana roho mbaya Hy hd unaua mdg ako loh😭

linahsemindu