SHUUDIA KIJANA ABDUL AKINYONGWA LIVE BAADA YA KUSABABISHA AJARI NCHIN SAUD ARABIA

preview_player
Показать описание
usisaau kusubuscribe ku like ku shere na ku comment
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Dah mtihani kwa kweli mungu atupe mwisho mwema pia najivunia kuwa muislamu

mohammedkidody
Автор

Katika kitu ambacho sitaacha kumshukuru MUNGU ni mimi kuzaliwa kwenye familia ya Wakristo na mimi kuwa Mkristo Ndio Tunu pekee najivunia Amani, Upendo, Kusamehe na kumwachia Mungu Ndio vitu tunafundishwa ktk Ukristo Najivunia kuwa Mkristo tena chini ya Sheria Thank u JESUS🙏✝❤

jessicajoel
Автор

Yesu ni njia ukweli na uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya Mimi. Wote njooni kwa Yesu.

ponsianaprotas
Автор

Mungu ni upendo

Mathayo 18
21 kisha petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe ? hata mara ngapi ?

22 Yesu akamwambia, sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini

Amen !!!

hwcegfv
Автор

Asante Mungu kwa kuwa baada ya kukua na kujitambua nimechagua kuendelea kubaki kwa Yesu wangu, japo mara nyingi ninamkosea Mungu wangu sana lakini kwa mwanawe aliyemtuma duniani kwa namna ya kipekee kabisa ndiye Yesu Kristo nikiziungama dhambi hizo ninapata msamaha wala sihesabiwi hukumu. Yesu anahubiri upendo na kuchukuliana daima na sio kisasi

dennisevarist
Автор

Mungu atupe macho Sana yakiroho Kwani atulijui tulitendalo

SuzanaHelena-nfym
Автор

Mimi namshukuru Mungu, pamoja nilizaliwa humo kwenye uislamu lakini...nilivyoifuatilia hii Imani....kiukweli haikuniingia kwenye akili yangu ndipo nilipo tafuta elimu ya Imani ya Kikristo ambayo tumefundishwa ni ya makafili na wanao kufulu ndipo nikakutana na Yesu hadi Leo nipo naye na kamwe sitamuacha....Yesu kweli njia ya kweli na uzima....mafundisho yake ni ya uzima....Yesu anabadilisha watu, nimeshuhudia walevi wezi wabakaji wauaji makahaba wachawi wazinzi....n.k wanabadilishwa na kuwa Wacha Mungu....na unafanyika kuwa mwana wa Mungu na sio Tena mtumwa wa shetani ndugu zangu msio ufahamu Ukristo...mjishushe ndugu zangu mfundishwe injili ya Yesu haijalishi umekalili Aya za Qur'an au lah Kumjua Yesu ni muhimu sana.

sammganga
Автор

Ukisamehe na Mungu ataku samehe. Kisha hio iliyo tokea ilikua ni kwa ajali, sio kwa makusudio yake, lakini watu wengine imani zao dhaifu hawataki kujua hayo. Mungu amrehemu amueke na watu wema. Awape na wazazi wake subra na wingi wa imani. Amin

habyalmary
Автор

Apana kabisa up sio uislamu Mwenyezi Mungu hakumaanisha hivyo iyo ni bahati mbaya ingekua maksudi ndo hukumu ingefuatwa

FatumaElias-gpcm
Автор

Sheria ya kiislamu ndio sheria yenye huruma zaid na mapenzi zaid kuliko sheria nyengine yoyote
ndio mana nchi zenye sheria za kiislamu hakuna mauaji ya ovyo angalia leo nchi za magharibi kila siku watu wanauwana angali nchi zetu kila siku wanyonge wanauliwa bila yakupata utetezi
Alhamdulillah uislamu umeweza kuondoa hali hio

saidmkubwa
Автор

Imetisha sana hii itikad za namna gan jaman mbona ngumu sana yesu nnayekujua endelea kunifundish kujua dunia napita hakuna cha kwangu

GloriaMbise-ymds
Автор

Rudini kwa YESU, maana alifundisha upendo dini yenye amani isiyokuwa na mawaa Asante MUNGU wangu kwa kuniumba na nikatokea kwenye tumbo la mwanamke wa kikristo,

suzysam
Автор

Wala M'mungu (s.w) hakusema anaesababisha ajali na kusababisha kifo auwawe Laaa! Hizo ni sheria zao binafsi. Hawa watu wana matatizo sana kubwa wameliona kucheza hellowin ndio bora. Lkn majibu wameyapata vzr .

mwawekomiuda
Автор

Hiyo Ni Sheria Ya Inchi Yao Lkn , ,Allah Hakusema Mtu Akikosea Auwawe anyongwe Yeye ndo Mtoa hukumu Pekeee, ,Inshalah Allah Tujalie Mwisho Mwema

daluumussa
Автор

Mungu wetu ni wa upendo mangapi tunayafanya sio mazuri anatusamehe sembuse binadamu

dennisezakiel
Автор

Mungu wasamehee hawajui watedalo, Jesus is love forgiveness humility e.t.c and the way to God 😢

MamaSusan-gdox
Автор

sasa mungu nae angekuwa ivyo awo walio pitisha iyo sheria wangekuepo

FredrickDaudy-rdwg
Автор

I'm very proud to be Muslim ❤❤🎉dini ya haki

swalehabdulrahman
Автор

Waislam 😢😢😢 mna roho mbaya sanaaa hamfai kabisa binadamu mnaona kama mnyama nani ajawai kukosea kuweni na utu nyie aya huyo mwenzenu hivo je angekuwa wa imani nyingine sijui ingekuwaje duu Mungu kila siku tunamkosea lakini anasame sisi binadamu tuna sana

jersonmpeka
Автор

Uislam unavisasi sana ss apo wanamuabudu mungu yupi

Zaikadena