Anastacia Muema- Karamu ya Bwana Yesu (Official Video)

preview_player
Показать описание
Anastacia Muema.

Ekarsti Takatifu ni chakula cha roho na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa Karamu ya Bwana Yesu ulivyoimbwa na Mwimbaji Anastacia Muema (Miss Anne) ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Kila mara tuwe wasafi wa roho ili tuweze kuishiriki meza yake Kristo anayotuandalia kila tunapofanya adhimisho la ibada ya Misa Takatifu.
Wimbo huu umetungwa na Ray Ufunguo
Umeimbwa na Anastacia Muema,
Back vocals zimefanywa na (Lawrence Kameja, Tumaini Swai na Ray Ufunguo)
Kinanda Kimechezwa na Ray Ufunguo

Audio na Video vimefanywa katika studio za RAJO Productions (Tz)
Nakukaribisha uungane nami katika kusikiliza na kutazama wimbo huu na Mungu atubariki sote, Amina
#wimbowaekaristi #corpuschristi #komunio #anastaciamuema #rajoproductions
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ekarsti Takatifu ni chakula cha roho na ni Yesu mzima ndani ya maumbo ya Mkate na Divai. Wimbo huu unaoitwa Karamu ya Bwana Yesu ulivyoimbwa na Mwimbaji Anastacia Muema (Miss Anne) ni wimbo unaotukumbusha kwamba Fumbo la Ekaristi takatifu ni nafasi ya kukutana na Yesu Mzima katika maumbo ya Mkate na Divai. Kila mara tuwe wasafi wa roho ili tuweze kuishiriki meza yake Kristo anayotuandalia kila tunapofanya adhimisho la ibada ya Misa Takatifu
Audio na Videovimefanywa katika studio za RAJO Productions (Tz)
Nakukaribisha uungane nami katika kusikiliza na kutazama wimbo huu na Mungu atubariki sote, Amina

anastaciamuema
Автор

hakika Yesu wa ekaristi anajibu karibu alhamisi parokia ya kirumba mwanza uchote baraka za yesu wa ekaristi

felisterjohn-qt
Автор

Hongera Sana wimbo nzuri unaingia Hadi rohoni Asante Sana anastacia mungu azidi kukubariki nakupenda Sana mungu azidi kuweka Uendelee na kumtumikia katika uimbaji🥰🙏

tesharose
Автор

Ndio mara ya kwanza naingia hapa imebid nilike na kusubsribe ....you are talented my cutest sister😘😘😘

mumyhendry
Автор

Wonderful voice, outfits and most important the song. It's just perfect for me and my family

jacintamakau
Автор

Wooow penda sana nabarikiwa na nyimbo zako tamu sana

victorakwata
Автор

The song is just perfect 😍 The voices 🥵🔥🔥 nisipate mtu ame dislike 🙄 .. alafu nifunze pia kuimba ☺️

EmmanuelOteu
Автор

I had no option than to subscribe very very sweet

africaneyetv
Автор

Kazi nzuri dadangu. Kongole kwa timu yako pia. Neema za Mwenyezi Mungu ziwe nanyi mnapoiendeleza kazi yake.

amambiastephen
Автор

Twendeni wote tukampokee mwokozi .... Tupate uzima tele .. kazi nzuri miss Anne

st.gregorythegreatchoir
Автор

Huu wimbo!!!! It arouses the beauty of the holy mass and eucharist❤️❤️, , , Annastacia you're a God-given gift to us

yJe
Автор

Naupenda sana huu wimbo hongera dada angu

lucytungu
Автор

This song is very addictive, yaani nimeuangalia zaidi ya mara ishirini na bado hauchoshi. Kazi nzuri na takatifu sana, hongereni sana kwa kumpatia MUNGU wa mbinguni utukufu mkubwa namna hii. Chief Ray unasauti ya nne yenye bass nzuri sana. keep it up chief. Kama binadamu wana sauti nzuri kama ya Miss Anne sijui mbinguni watakafu na malaika sauti zao zitakuwaje kwakweli. Uimbaji ni kazi tutakayoifanya hapa duniani na kuendelea nayo mbinguni milele yote. Good job, keep it up.

florianfinda
Автор

That voice, , , , awwwwhhhh. Produce more n more.

jacksonruitiari
Автор

I will press repeat 🔁 again and again 🌺🌺

Fr.mo.
Автор

What a voice am so happy to see the music of Roman Catholics is going and moving foward forever.

peterslaa
Автор

Anastacia, I love your voice, .... It penetrates deeper within the heart, .... Ata kama roho ndo ngumu aje, apa lazima tuokoke, ... Nice piece.... The vocals and instruments well harmonized

joelmasika
Автор

Mbona usifanye moja na Despina, , , , mnanibariki vizuri sana, , , , itakuwa furaha yangu kuwaona pamoja nawapenda bure

broalextv
Автор

Am proud to be a catholic...what a beautiful voice.

Mulwall
Автор

Kweli karamu imekwisha andaliwa. Nakutamu Eh Yesu uje moyoni mwangu.

hamicollege