AIC TABATA CHOIR FT AIC Athiriver Choir -ADONAI (Umetutendea Mengi Bwana)

preview_player
Показать описание
Huu ni moja ya wimbo wa shukurani ambao tumeishirikisha kwaya kutoka nchini Kenya wimbo huu unatumika katika maeneo yote ya kumshukuru Mungu iwe ni harusi,kuoa au kuolewa,iwe ni birthday party(sikukuu ya kuzaliwa) iwe kufaulu masomo pia Mungu akikuokoa na magonjwa,iwe kukutoa katika mikono ya watesi wako lakini pia kupata kazi au kupandishwa cheo,Furaha pia zinaendana na shukurani.
#umetutendeamengibwana #music #adonai
Tumetumia jina la Adonai kwa kuwa Mungu kwetu ni mfalme wa wafalme (KING OF THE KING) ili kuonesha uwezo mkubwa alionao Mungu.

Adonai ni wingi wa neno la Kiebrania Adon, ambalo linamaanisha "Bwana" Jina la cheo lilitumiwa kwanza kama jina la Mungu kabla halijatumiwa kama jina la Mungu. Adonai ya wingi na herufi kubwa inatumika kwa sababu, kulingana na imani, Mungu ndiye Bwana wa wanadamu wote na hivyo ndiye "Bwana wa mabwana wote.

wimbo huu pia umeimbwa katika Lugha za Kiswahili,Kingereza,Kisukuma na Kikamba umetutendea Mengi Bwana si kama tunavyokutendea Wewe umetulipa kwa wema hata kama hatukustahili. Tunaamini kila mtu ana mambo mengi ya kumshukuru Mungu na tukisema tuanze kutaja au kuhesabu hatutamaliza kabisa Tunaamini wimbo huu utakuwa zaidi ya shukurani na zaidi ya maombi ( not only thanksgiving but also Prayer)

AIC TABATA CHOIR tunayo mengi ya kumshukuru Mungu maana alipotutoa ni mbali sana

Wimbo huu ukawe ni Shukrani kwako!

Audio Music by: / quilly1
Song Leader Jacob Maina/ marywisebwire1 / rosemutiso / nelson_van_e
connect us; instagram : / aic_tabata_choir
TikTok : / aictabatachoir
Youtube : / @aictabatachoir
Like Subscribe&share our videos!!!!.....
CONTACT VIA TEL 255765930030/0735068599
#umetutendeamengibwana #adonai #music
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama una amini Mungu ndiye pekeee aliyetuweka huru drop your Like❤

MariaEnock
Автор

Umetundea mengi Bwana si kama tunavyokutendea.wimbo mzuri sana

leahgeorge
Автор

Hongereni cn watumishi wa Mungu wimbo ni mzuri sana nyie mpungue Mungu aongezeke

furahabarayati
Автор

🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Hakika huu wimb ukiuskiliza hata kama ulikua umekata tamaaunapata Tumaini jipya Hakika MUNGU wetu Ni Mzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏

MariethaSilvan-wf
Автор

eish wameeka kamba ndani😍😍, meko maku ni manene😊

alicenthambimutie
Автор

Huyu kaka na huyu dada wameimba jamani mungu awainue zaidi

GetrudeGabriel
Автор

Adonai kweli ni Mungu wa utukufu na hakuna kama yeye.

eunicemwelu
Автор

This is what keeps me as a choir member at Aic nkaimurunya kajiado county, I like dancing, the men on green continue ma thing

gladyskavoi
Автор

Nimefurahi sana kuona hii kazi mbarikiwe sana

joshualazaro
Автор

Wow, what a composition, blending of voices and spirit filled ministering.Bless you and lift you choir

praiseandhymns
Автор

It was a humbling experience for me to work with you AIC TABATA CHOIR especially from minute 6:09. Naomba Mungu akabariki watu wengi kupitia huu wimbo. AIC TABATA CHOIR from Tanzania and AIC ATHI RIVER CHOIR from Kenya, this is an amazing work.

rosemutiso
Автор

It's really amazing 😍 we are looking forward to seeing more collaborations. Be blessed servants. AIC ATHIRIVER (Meko maku ni manene)🔥🔥🔥🔥I had to re-listen.🎉Congratulations.

VOKEHDEPRINTA
Автор

Wimbo Bora wa Mwaka huu Mungu awabariki sanaa wimbo mzuri aisee Mr Uchebe kaimba vizuri sanaa Salamu zangu zimfikie pia Dada huyu naye Mungu ambariki kwa sauti yake nzuri ❤❤

eliaivan-kfty
Автор

Merci mon Dieu pour la force de persévérer Dieu tu es si bon

felixmwasongela
Автор

Finally 💃💃 good job +255 and +254 jeshi kubwa ❤🔥

gaudenciaredwin
Автор

Hakika Mungu ni mwema leo wimbo umetoka lasmi sasa karibuni sana kuuangalia na kuskiliza yani ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

ntemicholo
Автор

I've been waiting this like forever 🎉🎉

haroldmartin
Автор

Kwa kweli limetimia twashukuru kazi safi

GoretAnyango-nnno
Автор

First viewer 😍
Nawapenda sana Aic tabata choir❤🔥

Sallykalonda
Автор

Umetutendea mengi Bwana. Audio production imekaa poa sana. Hongera prod Quilly kwa kazi yako njema. Beat umeisuka imesukika😅

JPM_Rec
visit shbcf.ru