DC SABAYA Awakatalia Hadharani 'Niza Magufuli Msinipe mimi''

preview_player
Показать описание
Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ametembelea katika soko la walaji la Sadala lililopo Boma ng'ombe na kuzungumza na wafanya biashara wanaofanya biashara katika soko hilo.Pamoja na hayo alipokea malamiko mbalimbali yakiwemo maswala ya kodi mbali mbali na hali ya uchafu uliokuwa umekithiri katika soko hilo.Mkuu wa Wilaya huyo alichukua maamuzi ya kuzitatua kero hizo papo kwa hapo kitendo kilicho wafurahisha wafanya biashara hao na kumshukuru.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Inapendeza yan hadi raha kwa kweli uongozi wa awamu ya tano uko vizuri Anayeupinga alaaniwe

rweyemamu
Автор

I remember those day Mkuu Wa wilaya(District Commissioner DC) ilikua ngumu sana kuongea naye na Hawa watu walikua V.I.P lakini kwasasa wamekua watumishi Wa Umma nzuri sana hii.

newbornhaule
Автор

Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.

rehemashabhay
Автор

Kweli hapa kazi tu, nilikua sijui kama wakuu wa wilaya walikua wanakiwa kufanya kazi hivi,

mbwanaomary
Автор

Kweri huyu kaka wamemtowa ila wamemzuru kumtoa u DC

zulfaoman
Автор

he fits to be a regional commissioner of Kilimanjaro

ellykimu
Автор

huwa napenda sikuzote sabaya awe na ziara huchoki kumuangalia wakuu wawilaya igeni jamani huyu jamaa na makonda na gambo dah wanafanya kazi kubwa sana

zumbeshauri
Автор

huyu mh kanifurahisha kama movie ya yesu

bonifacemathius
Автор

Wote ni watanzania wanayohaki ya kufanya kazi popote hivyo waandaliwe mazingira rafiki ya kufanya biashara zao ili wajikimu kimaisha

abdillahichicha
Автор

Panden miti apo itawasaidia kupata kivuli

mannabu
Автор

Kwa kweli Serikali hii ndio naona kazi za wakuu wa Wilaya

samuelmtasha