NYIMBO HIZI ZA MASHETANI ZA IMBWA MAKANISANI KOTE TAZAMA. EV PASCHAL CASSIAN

preview_player
Показать описание
#0788871769 #0766998994 #call0688199370 #0688199370 #
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Amen nilikuwa nime miss mahubiri ya Mchungaji Kulola ila sasa naona Mungu anakutumia kukaripia kama Mzee Kulola amen!

emmylema
Автор

Mtumishi wa Mungu hapo pameharibika sana Bado hapaja kemewa vizuri
Pakemee sana hapo shetani kajificha hapo.BWANA Aendelee kukuhifadhi.

chalokalunde
Автор

Mimi napatikana congo Kinshasa iyo mafundisho ni kweli Baba barikiwa na Mungu kwa iyo kazi nzuri unayo ifanya na kumbuka Muchungaji wangu alipigiwaka na wa yibaji kwa sababu ya kuwaonya ju ya dansi za kukata kiuno na wengine waka jitenga wenyewe

LebonKulumouche-mvoh
Автор

Mungu nisamee kweli nime imba izo wimbo ni rehemu Yesu Christo

godisable
Автор

Nashukuru Mungu kumbe si mimi tu nisiyekubali hii nyimbo nazinginezo kumbe ni roho wa Mungu, amina barikiwa mtumishi napata ufahamu kwa mafundisho yako may God keep you for his will

lilianmbeyu
Автор

Unasema ukweli maana zina mvuto waki shetani atakama hutaki kucheza haijalishi wewe ni Mtumishi lazima utashangaa una anza kucheza unasema ukweli mtupu Mtumishi wa mungu kama wapo watumisha ambao wanatangaza injili ya kweli wewe niwa kwanza Mtumishi wa


Mungu Pascal cassian ubarikiwe saaana Amen🙏

Saidi
Автор

Amen, barikiwa mtumishi wa Mungu, nafurahishwa Sana na huduma zako, Mungu akutie nguvu

kaburajeanmarie
Автор

Kama una mwabudu Mungu wa ukweli gonga like

EunnyNamilo
Автор

Shukrani Sana mutu wa Mungu kwa maneno Mazuri Sana baikiwa zaidi katika jina la yesu Kristo aliye hai, Samuel toka Congo DRC/Bukavu

SamuelCigabanyi
Автор

I'm from Kenya and this is my first time to know about this. But I Thank God I grew up in the church that we only use hymns book without dancing. Watu husema tunapaswa kuendelea kidigitali but I know this. I WILL NEVER CHANGE BECAUSE EVEN GOD WILL NEVER CHANGE.

Parkchaehyun-
Автор

[Danieli 12:4] Lakini wewe, Ee Danieli, yafunge maneno haya, ukakitie muhuri kitabu, hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka.
Sisi tunaoijua siri hii ya Mungu bado kitambo kidogo kimebakia. Na hayo yoote hayana budi kutokea maana yalishanenwa na manabii, hakuna pa kujitetea siku itakapofika !! Ndani ya makanisa zipo biashara zinaendelea, yoote hayo yalikuwepo hata nyakati za Yesu !! Mkristo unayejielewa pindua meza zao na usimame katika haki nayo haki yako itadhihirika siku ile !! Nakutia moyo mtumishi wa Mungu endelea kuwa sauti nyikani watakaokusikia watazitengeneza njia zao ! BARIKIWA

devisshirima
Автор

Naomba Kama wewe unamjua Mungu unayemuabudu Mungu wa kweli gonga like

benjaminkapelah
Автор

Kenya hunishangaza ya Kwanza nivile wanavaa wakituimbia hizi nyimbo natuna ignore .ama ukiongea watu wanakuangalia kama ambaye umechanganyikiwa...Sono langu ni, nikiona roho yangu imekataa, sitalazimisha juu wengine Hawaoni..Mungu atusamehe kwasababu na dabodabo nimeongoza Sana but yerusalema roho ilikataa toka mwanzo. Ahsante.

celineachieng
Автор

Christina shusho ulianza vizuri, , omba Sana Mungu umalize salama uelekeako siko.

maryupendo
Автор

Amen mtumishi wa Mungu kwa elimu hiyo ya kiungu.God bless you.sister pheny from mombasa.huwa nakufuatilia Sana kwa mahubiri yako na uimbaji wako.umenitoa mahalo na naonanikielekea mahali

phenymanga
Автор

Isaya 58
1 Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama tarumbeta; Uwahubiri watu wangu kosa lao, Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

faustinebakulu
Автор

😭😭😭😭😭 YESU atusaidie makanisa Yameingiliwaa sana mapiano, tarabu zinapigwa makanisani uuuh ni hatari sanaa

GLORYCHOIR
Автор

Nimekuelewa Sana mtumishi kuna kitu umenifungua maana nilikua siju ila Leo umenifungua na nimekuelewa. Mungu akubariki sana

felisianliheta
Автор

Wah Asante sana mtumishi wa mungu kwanzia leo sitasikiliza nyimbo za kidunia tena kama vile diamond rayvanny n zinginezo kwanza hio yerusalemu naipenda sana lakini kwanzia leo nimeacha glory and honor be to God Ameeeen 🙏🙏🙏

LucyWambui-qrpw
Автор

Ninakuelewa saana mtumishi Mungu aliyekupa hayo mafunuo azidi KUKUATAMIA, kwa kadri ya kusudi lake🙏

beatricemwasunda