HATA AWE JINI WA MAKABURINI KWA MAFUTA HAYA ATAONDOKA

preview_player
Показать описание
Document from MKENYA
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Shukrani mwalimuwetu sasa jini akitoka tupedawa tutengeneze iliasirudi tena kwenye uyo mwili

muhamedyhakimu
Автор

Asante shehe. Vipi naweza tumia mafuta haya kuweka kwenye mashimo ya yangu ya madini Ili kuzuia uchawi na majini toka kwa fitina za wachimbaji wengine, madini ni mali ya Mwenyezi Mungu lakini eti ni lazima uende kwa mshirikina ndipo upate mali.

heritier
Автор

Waweza toa Jin mwilini vipi mtu aliembali

salimmwamzuri
Автор

Vipi jinsi ya kuzuia uchawi na majini kwenye ardhi na mashambani tunaweza tumia nini, maana watu Wana husuda Sana unajituma wanakuja haribu wao

heritier
Автор

Shekeh shukran ila nataka nije ufisini kwako siku Moja nielekeze

nicospack