Marioo Feat. AliKiba - Love Song ( Lyrics Video )

preview_player
Показать описание
Subscribe: ​⁠

Follow Marioo:

More from Marioo:

#marioo #lovesong #alikiba
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kama nawe unaamini katika Mziki Mzuri Wa KING 👑 KIBA na MARIOO ! Nyoosha mkono Kwa kuweka likes hapa

MichaelMwakibolwa
Автор

Ndagukunda, je t'aime....From Rwanda🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼, thxs Alikiba to sing in our language, this is the best song.

NdayisabaValens-ghkb
Автор

Napendaga bongo flavour tamu Sana kuliko amapiano big up sana jirani zetu TUNAWAPENDA Sana kutoka BURUNDI 🇧🇮 nawao na mu kapunguze amapiano mwenderee na BONGO FLAVOUR❤️

jeanberchmas
Автор

Hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪 tuko shule maneno ya Kiswahili kutoka kwa Mario. Mziki mtamu kweli ❤

BaronKavashia
Автор

Marioo is a masterpiece that should be protected at all cost. Big up from Kenya!

ChrisMadesh
Автор

Ngoma kaliiii sanaaa🌹Jaman jamani Nani anaangalia hii video huku akisoma comments za wadau Kama mm mko wap nyoosheni vidole niwaonee ss🌹🙏. Nawapenda wore❤️

muniraahmed
Автор

Mih ndo wa pili kuusikiliza huu wimbo tamu wanaokuwakubali hawa mabingwa tujuwane hapa jamani ❤️❤️❤️❤️❤️☑️🦅🕊️👌❣️❣️

Jaydannychawaboy.
Автор

Ukisikia vocalistic njo hiyi sasa❤❤ napenda song hiyi toka DRC, music mzuri una jibeba wenyewe bila skendo mingi, king kiba kweli ni mkali waku imba❤❤

EspoirMukambilwa
Автор

if you are fully in love with someone that do me a favor play for her or him 🥰🥰😘👈

isaacomondi-wqrp
Автор

Diamond might be the richest artist but when it comes to music wachia legend...kiba to the world.

peterwaweru
Автор

Beautiful song & Lyrics Alikiba is better than all wasafi singers 🎧🎧🎧🔥🔥🔥🎼

b_aime
Автор

Good song lyrics❤

Hawa jamaa watauwana 🪓🪓⚔️⚔️🔫
Any way ONLY ONE KING 👑👑👑
KING kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

farajiwanted
Автор

Huu unyama kabisa 🔥👑 nitapata like ngapi za kingkiba 👑

dr_donye
Автор

Alikiba is back on business like he never left as u can see guys... Lakini marioo sio mchezo.... Diamond angekuwa tu kama Hawa wasaniiii... Kimziki wasanii wa tz wangekuwa top

hostonekowino
Автор

Kama wewe nishabiki wa Alikiba na Marioo gonga like hapo twende sawa king 👑👑👑👑 is back King Music label Alikiba mfalme wa Melodies in Tanzania love u Alikiba ngoma Kali sanaaaa wow Alikiba ❤❤❤❤❤

MnankaMunanka
Автор

Unyamaaaa mwing sanaaaa nawakubari sanaaa from Moz🇲🇿🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥

baysadam
Автор

Makini maridadi mdundo vocal ya kizazi sana #Daima_king_kwa_ubora_wake tunaemuelewa Kiba hatuezi kosa ku like❤️‍🔥

salimkilwa
Автор

Nomaa sana King sisi mashabiki zako tupo nawewe tu paka mwisho wa muziki wako

AbdallahIssa-sgjl
Автор

Kwa uimbaji huu ingelikuwa ndo sifa kwa Mungu ingependeza Sana, Kama unaungana na Mimi gonga likes

jrgongo
Автор

Team kiba mukowapi jamani lvu more guys mario and my king kiba

nibigirahassina