MAPYA KESI YA MBOWE, JAJI AKUBALI MAOMBI YAO, MASHAHIDI WANNE KUFICHWA

preview_player
Показать описание
Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu "Mahakama ya Mafisadi" imekubaliana na maombi ya Upande wa Utetezi wa kuficha mashahidi wao wanne.

Jaji Mustapha Siyani ameahirisha kesi hiyo hadi Septemba 15, 2021 ambapo itasikilizwa mfululizo ambapo upande wa utetezi una mashahidi 7 huku wanne wakiwa wamefichwa.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

HAPA HAKUNA KOSA WALA KESI, ILA KUONEA WATU TU!

sagandamalechampullo
Автор

Laana za sabaya hizo.kumsingizia mtoto wa mwenzio raha yake ndo hio.leo wakugalagala hawapo 🤣🤣🤣 chadema bana

estermathias
Автор

Hongera Kibatala. Mbowe si gaidi. Gaidi ni Sabaya aliyekula pesa za watu

barnabasmsagamasi