ASKOFU ALIVYOONGOZA IBADA KESI YA MBOWE KABLA YA JAJI KUJITOA

preview_player
Показать описание
Jaji Kiongozi, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake ambapo sasa atakuwa Jaji wa pili kujitoa katika kesi hiyo namba 16/2021 ambayo kabla yake ilikua ikisikilizwa na Jaji Elieza Luvanda.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mungu simama katika hili Kwa hakili zetu hatuwezi baba tunaomba ingilia kati hakuna linaloshindikana mbele zako Mungu

slicehamfrey
Автор

Ubarikiwe Bishop, tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu

christinachriss
Автор

Ee mungu simama upande wake kamanda Mbowe na umtete

admaumsengi
Автор

Woga ndo unatusumbua wtz maandamani nchi mzima ingekuwa dawa

fredreckmwakalinga
Автор

Yaan hii nchi uonevu hautokuja kuisha mbk mwisho wa dunia, maana maccm yote machoko tu

lindambilinyi
Автор

Hizo ni mbwembwe tu! Maombi et ya Askofu Mwamakula! Tz hatar sana, 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😜😜😜

ndogoroedson
Автор

Mbowe ni raisi kumuvika pingu ni mkoshu

stanlychishimba
Автор

*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🇹🇿🎶🎶🎶🎶🇹🇿🔥*

Emmamusiccmb
Автор

Muachieni baba wa watu jamani hivi binadam tumekuwa na, roho gani ndo maana mvua zinagoma

sharonyasin
Автор

Anaejua vizuri aniambie mbona mbowe hanaga pingu lakini wengine wanao pingu ???

victoravelin