VETA vs CHUO KIKUU: kipi kilimtengeneza mwenzake?

preview_player
Показать описание
ASILI HUWA HAIPOTEI ?
#elimikausiwemsomi
#mwalimugoogletv
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ndio maana ukimaliza chuo lazima usome ujuzi tena upo sahihi kuna watu wachache ndio walielewa kitambo wamesoma vyuo vya ufundi..Salute sana kaka

RamazanJuma
Автор

Yaani umetuzibua ubongo mzee, God bless you watoto wetu waanze kujifunza ujuzu wowote tangia shule ya msingi, na ndio maana ikaitwa shule ya msingi, ule ndio msingi wa maisha yako,

malizeniengibethi
Автор

Braza we ungekuwa unasikika tanzania nzima nchi ingebadilika sana

AndrewNjelekela-uo
Автор

Ni kweli kabisa mwalimu,
Tumeuawa ubongo wetu kwa mfumo wa kibepari wa elimu inayoteketeza vipaji/wito/vocational,

Hata kiuchumi mtu fundi carpenter mwenye workshop anakipato kikubwa sana kulio yule university holder anatetoa intangible service,
Mafundi ujenz, house finishers, mechanics nk wako vizuri mno, wanaonekana Wana elimu duni but wanagenerate uchumi wao kwa viwango ambavyo utashangaa Nina mifano hai mtu graduate university ameenda veta kusomea fani ili apambane na maisha kwa elimu aliyoipata university kupata kazi ni kipengele

andrewnyenza
Автор

I second u, VETA ni suluhisho la jamii yetu ya TZ

omahela
Автор

Mwalimu niongezee tuu hapo! VETA INATOA ELIMU, UNIVERSITY INATOA WASOMI. Ivyo yaaan wagunduzi wote ni kutokea VETA na sio UNi. Wasomi ni mfumo wa Utumwa mambosasa 😢 soma ajiriwa tumwa stafu subiri kufa bye. Huo ndio mfumo, na VETA ni soma elimika katoe suluhisho kwa jamii au nchi ama dunia ianyokuzunguuka. Ndio tunazalisha wagunduzi sasa na sio watumwa.

kiddyadams
Автор

Hahahaa mwalimu Google safi sana unawapasua vema sana wasomi wa elimu ya magharibi 😂😂😂😂

African
Автор

Duu braza unaakili kubwa sana ivi nakupataje uniongezee maarifa ata kama kuna garama kidogo ntalipa nifanyie mpango tuonane broo

raymondmango
Автор

Waziri mkuu majaliwa kaongea point sana shida watanzania hawaelewi veta ndo mpango mzima

jacksonmsendo
Автор

Mwamba fundi sana.
Nakukubali sana Mwalimu google.

IslamKhatibSanze
Автор

Uzalendo ni kuzungumzia na kuanika matatizo ktk jamii yako, na uungwana nikutafakari na kutafuta suluhisho, na si kudharau. Ahsante kwa hilo tuna mengi ya kujifunza

georgeshigela
Автор

Kk hongera sanaa kwa Somo hili Pili wafunfishe wananchi kuwekeza kila mkoa yani tz kila mkoa una mazao yake na unatakiwa serikali kufungua vyuo vinavyoendana na soko ktk mikoa yao ndio maana watu hawaelewi la kufanya wamejaa miji mikuu kutafuta ugali wakati mikoa yao kuna kazi nyingi tu ambazo zikichalatwa ni ajira kubwa tu ila tunafanya kwa uchache kama chumia tumbo umeona eee

fidelfidel-jziw
Автор

Chuoni Kuna kozi ziko vizuri unaweza kujiajiri lakin ualimu ndo tatizo

christopherjoseph
Автор

Elimu bila ujuzi ni sawa na 0, ,uwe na ujuzi Kisha pata elimu kwa kuhusu ujuzi ulio nao maisha yataenda

Fadhirimarko-ww
Автор

Chuo kikuu zaidi ya Kinge hamna kingine waende VETA Masharo wapungue Mtaani

hanspop
Автор

Habar broo mm nishabiki yako ila ilo jambo mm nimeliwaza tangia 2012

ZaidanAmer
Автор

Tunawaona pakistani, india, china wanavyotengeneza bidhaa aisee tumechelewa sana.binafsi natamani kwenda veta.

Golanh
Автор

Ahsante mwalimu mi nimekuelewa sana ambae hajakuelewa inabifi tumvyete mana kichwa chake kitakuwa na unga

drharoonshaarawytv
Автор

To fool people to be controlled. Very intellectual points

charlesadolf
Автор

Tunapata madini mengi yauelewa kutoka kwako big up

emmanuelsemwali
welcome to shbcf.ru