SOMA KOZI HIZI KUPATA AJIRA 2024/2025

preview_player
Показать описание
Je wewe ni Mhitimu wa kidato cha sita? Au unatarajia kujiunga na elimu ya chuo kikuu Katika video hii nimekuletea uchambuzi kuhusu kozi za kusoma zenye uhitaji wa wataalamu
Tazama video hii ili ufahamu ya kozi kumi bora za kusoma zenye soko zaidi kwa mwaka 2024/2025 #ajira #kazi #course #degree #university # education
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hapo kwa computer science, ... Am very proud of it ❤😊

Airdoll-qyqg
Автор

Sikilizeni nyinyi munaomba ushauri usome kozi gani kwanza usisome kozi ambao unayo ona rahisi ndo ukasoma soma kozi ambao ipo kwenye moyo wako

chatemidy
Автор

Samahan nimemaliza mwaka Jana nina physics d chemistry c bio c mathe d je naweza soma koz ya ordinary diploma in road and railway transport

FaustineGeorge-jxid
Автор

Vigezo gani vya kusoma accounting kwa muhitimu wa kidato cha nne

SamwelJimmy-qm
Автор

Samahan mm nimemaliz form four mwak jana lakini physics xijasoma naweza kuenda diploma kusoma course ya civil enginearing

BenedictoSangiwa-yu
Автор

Nmemalz 4m4 nataka kuxomea ngaz ya chet katka kozi ya agriculture

JosephBocko
Автор

Samahn ety coz ya shipping and port logistics management unapata mkopo wa ngazi ya diploma 1:30

NajmahJirdah
Автор

Samahan ety kwa coz ya shiping and port logistics level ya diploma naweza kupata mkopo

VanyVan-lj
Автор

Jamani me nimesoma arts 4m4 nilipata 4 ya 26 masomi yote nina d kasoro English na kiswahili ndo nina c vp naweza soma kozi gani?

MarymOmmy-nf
Автор

Oya kak na mdg ang anauliza unaweza pata mkopo ngaz ya certificate coz community development

NisaKitumbo
Автор

Nimehitimu 2024 kiswahili Nina C English D biology nimept D je nisomee Nina naomba ushaur kutoka kwenu nisaidieni jmn

beriasmaswale
Автор

Samahan nimemaliza kidato cha nne 2024 na nimefaulu haya masomo englishD kiswahili C biology D chemistry D geography D nilikuwa nauliza naweza kwenda kisomea nn chuo

SalomeOsman
Автор

Samahani nimepata biology D History D Civics D kisw C religion D je nisome kozi gani

NADAHAJIALI
Автор

Hah kuna somo linaitwa PHYSICS manina hili ni somo la wateule 😂😂

BedahTheGreat
Автор

Kuna dg lang kapangiwa bachelor of science in economics, population and development hi vp nay naombeni wakuu majibu mapema maana kama co nzr nmebadilishie

EZEKIELBINZI
Автор

Samahani mm naitaji namba yk unishauri vzr Nina mwanang

KhadijaSaid-lvrw
Автор

..vipii jeh Bachelor of accounting and finance?

JonathanLoy-sl
Автор

Sorry 😞 vp kuhusu hii public health market yak

SalimAly-xb
Автор

Vp me nahitaji nursing biology nimept D

beriasmaswale
Автор

Vigezo vp vitakuwa kusoma kozi ya utalii

RosemaryLazaro-hf
welcome to shbcf.ru