AUWAWA BAADA YA KUTOKA KUNYWA POMBE USIKU NA KUKOSEA NYUMBA YAKE

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hivi huyu ACP kingai bado yupo na like somo letu laPGO

jestonelazaro
Автор

Mauaji ya kutokusudia muuaji alikuwa.akijihami maana binadamu wamekuwa wanyama

gililwise
Автор

Ee Mungu wangu tusaidie mwisho mwema miaka 80 Bado unakunywa pombe😥😥

suzanfelix
Автор

Hamna kesi hapo, alikua akijihami na uhalifu hivyo ni bila kukusuudia, akipata mwànasheria mzuri ataachiwa huru japo ndani atakaakaa

tomdj
Автор

Dah miaka 80 bado unakunywa pombeee mtihani allah tusameh waja wkooo

najmamueez
Автор

pombe sio chai. sikuhizi hatuaminian na hapo kama hayo maeneo yanatetesi za ushirikina ndo kabisa, maana wanataharuki mzee kufungua pazia na usiombe iwe ndo usiku

goodluckjmgawa
Автор

Mmmmh haya bwana afande tumesikia hayo maelezo yako, utasema unasoma gazeti.

jebellwallace
Автор

Big up kamanda Mimi nilianza kukufahamu kwenye kesi ya mbowe ulipokua ukitoa ushahidi Sasa huko kigoma uchunguzi umefanyika kwa kinaaa?

msafirimrema
Автор

Kumbe umepelekwa kwetu, baada ya kesi ya Adamoo

salumjumaruhaga
Автор

Anahifadhiwa tu kwa muda kwa ajili ya usalama wake maana ndugu wa marehemu waweza kumdhuru ila hapo kosa hilo laweza kumweka huru inategemea na hakimu kama akisema alichukua sheria mkononi au alikua anajihami

apostleemmanuelmabuga
Автор

Huyu kamanda huwa nampenda yupo makini Mungu akuweke.

gallousgosbert
Автор

Ila mtuhumiwa hakuwa na kosa kwasababu alikuwa katika harakati za kujilinda kwa vile hakujua ni Nani pengine ni mwizi.. Ila tuachie mahakama ifanye kazi yake

aminamnyaruge
Автор

Simtetei, , lakini, , , Mtu usiemjua kuingia kwako bila taarifa unaruhusiwa kujitetea , ,Mfano marekani, ,sheria inasema ""Ukiona sura ngeni bila taarifa ndani ya nyumba yako, hasa usiku, , , piga risasi""

vibetz
Автор

Mtuhumiwa Yuko sahihi c alikua anajihami, mtu ataingiaje kibwege hata kama ni mimi nakutia rungu tu...hapo hamna kesi kaua bila kukusudia

festopaul
Автор

So baada ya kumsingizia Mbowe na Adamoo mkapewa Ulaji Kigoma, hii nji shikamooo

katibampya
Автор

Masikini weee majuto mjukuu sijui alizani ni mwizi au mchawi

mwamvuamagongo
Автор

Kigoma kigoma kigomaaaa ....ninishida Yesu okoa kigoma

nelsabugo
Автор

Mm najiuliza Sana haya mauaji Sasa imeshakua to much

zainabubalama
Автор

Hahahaaa pombe mbaya mungu ameikataza Kwa maana kubwa hata Mimi nitakuuwa mana nitaona jambazi ulimwengu haunaraha huu

sabihaibrahim
Автор

Huyu polisi ndo alikua shahidi kwenye kesi ya Mboye, duh kapandishwa cheo

godwinkileo