ADAM ALIVYOMUAGA RAFIKI YAKE NA KUNYWA SUMU BAADA YA KUDAIWA KUNYIMWA ENEO LA KUJENGA.

preview_player
Показать описание
Kijana anayefahamika kwa Jina la Adam John (28) mkazi wa kijiji cha Urisho kata ya Songoro Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya kukausha majani kwa madai kuwa amenyimwa eneo la kujenga nyumba yake ya kuishi.

Inaelezwa kuwa kijana huyo kwa kipindi kirefu alitengwa na familia yake kutokana na familia hiyo kuishi ya maisha ya kidini zaidi huku yeye akidaiwa kuwa mlevi wa pombe na mvuta bangi.

GADI TV ndiyo

Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Syo vizur, Mungu mwenyewe uwanyeshea mvua mwema, na waovu, Kwan wamtenge mtot hivyo...

doreensamwely
Автор

Hiyo familia Ni wauaji kabisa.hao ndiyo waovu kuliko marehemu, wameua.

maswamills
Автор

Wameru ebu tuache hii tabia km ujapewa aridhi ulikozaliwa tembee mbele katafute maisha usitegemee kupewa sehemu ndio ujenge sio mpk kupewa eneo ulikozaliwa

ednajeremiah