Dayoo Feat. Ibraah - Nipo Single (Official Video)

preview_player
Показать описание
#Dayoo #Ibraah #NipoSingle #Smilesasa
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hellow Mambo ?..Vipi Karibu Ku Enjoy Wimbo Wangu Mpya ❤️🙏 Usisahau Ku Like, Share, Comment Na Ku Subscribe My Channel 👊❤️🙏Muhimu Asante Sana Karibu Sana

dayoo_
Автор

Wangapi tunasema ibraah kaua ndani apewe Hela zake gonga like hapa.

AboyFromKigoma
Автор

Oyaaaah weee chingaah kauwa kinyamawanangu nipeni like zangu

TAPTAP_PRESSO
Автор

Kusemaukweli ibra kaua ila dayoo nayeye anweza kamamnawakubali like hapa please 🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

KelvinKhan-ur
Автор

Kama unajua dayoo alifanya makosa kuletea ibraah ngoma ya kulialia akiamini atamufunika, , , , Ghafla bini fuu akafunikwa gonga like apa😅😅😅

Uncle
Автор

Kusema la ukweliii namkubalii dayoo ila chingaa kafunikaaa kaziii kuwen wa kweliii kwa kutoa like apo

gxilver
Автор

Kama unakubali ibraah amefunika Dayoo nipeni likes jamani...dayoo apunguze shobo sasa ni mgeni kwa game..ibraah sio levo zakeee 😂😂😂😂

RichkiddWizzy
Автор

Ibraah! Sipendagi msanii kifalafala mimi ila mwaka huu umenikosha. Ukiendelea hivyo utakua my favorite singer.

faisalal-miskry
Автор

IBRAH niwa Moto sna Hu Muakani ni wake Week Moja Kolabo 2.
Kama una Amiini Muaka wa IBRAH weka like tuende sawa🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

msholozizuma
Автор

Wale ma fans wa Dayoo msiseme hamjaona hii....more love from Kenya....nipeni like zangu jameni

saddamsmasherkiddo
Автор

nimewah gonga like goma
Dayoo umemruhusu ibrah aimbe San ona kakufunika😂

ferouzfernandes
Автор

Ibraah umetisha🎉🎉🎉 watu wa konde gang tujuwane

Hkboy
Автор

TUNAO AMINI KAMA HILI GOMA LITAFIKA TRENDING #1 TULIKE HAPA 👍👍👍👍

Razack_kalla
Автор

Ama unamkubali ibrah kamfunika dayoo achia like hapa

izjhqwj
Автор

Ibraah 🔥🔥🔥 kua sana humu like za ibraah

MudyDayo
Автор

No need to compare yourselves...kila msanii umu kaimba kadri ya uwezo wake kifupi we all have to stand together ...all in all NGOMA NI KALIIII MNOO

odundowh
Автор

Me nikajua dayoo atamfunika ibraah ona sasa kafunikwa yeye, gonga like kama umeelewa verse ya ibraah

AgustinoJulius
Автор

Mbona kama ibra kauwa sanaaa humu kama unaamini like apa🔥🙌

NGOSHA
Автор

🎤🎤CHINGA siku zote atakua juu yako tu na hiyo pesa sizani kama unayo kwa shoo gan ya kulipwa m.50 umlipe chinga tuseme kaombe tu msamaha
nandy__Aibu

BizeddOfficial
Автор

Dayoo kama kweli unamuogopa mwenyezi mungu basi mpe ibrah million 50 ulizo mhaidi kwasababu amekufunika kiukweli

lwzvjpp
join shbcf.ru