DUNIA (Ep 48)

preview_player
Показать описание
#dunia
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Allah Akbar🙏! Kama Unaamini Mwenyezi Mungu Amekupa Nafasi ya Kutazama Hii Episode ya (48) Gonga Like hapa, Tuwape nguvu Team Dunia Series❤❤❤🎉🎉

KibweOnlineTv
Автор

Alhamdulillah ndugu zangu tumche Mwenyezi Mungu hii pumzi ya muda mfupi isitudanganye kwani haya maisha ya dunia ni ya starehe ya muda mfupi sana tusiache kusali na kuomba kwani kifo kinakuja ghafla tena bila ya taarifa

Jiulize tukifa sasa hivi jee DUNIA TUMEIACHA AU DUNIA IMETUACHA jibu ni kuwa DUNIA tumeiacha Wakati ndio huu haujachelewa turudi kwa Mwenyezi Mungu

AbdulRamadhani-zc
Автор

Duuu amani....hv wee ni amani kweli Kama jina lako....Kama unamjua mungu kweli kwanin usipokee msamah aaah ...wanaomchukia amani gonga like❤

GiftPallangyo-qy
Автор

kama unaungana na mimi kumshukuru mungu kwa kutufikisha siku ya leo ganga like hapa

NgoshaThedon-oe
Автор

Kama ulivyo sikiliya simu basi na munguu ndio vyo alivyo shikiliya uhai wako tushukuru munguu kuiyona sikuyaleo na kuiyona duniya tuseme asant munguu❤❤

SHAZIMINA
Автор

Series ya Dunia ni shule toshaaa, hongereni mnavaa uhalisia vizuri, mna zingatia maadili, nidhamu ya mavazi.. kwakweli mnafanya kazi nzuri.

witnessmallya
Автор

Dah aixeeh we vai ww xio mtu mzr dadaang unajua mpaka unakera like za vai apa😢

DeeDan-sjmr
Автор

Kama unapenda mungu kuliko iyi série ya dunia sema amen kwa baraka liké apa

CHRISMANNEQUIN
Автор

, ,,,yaan macho ya vaii yanafuraishaa kwel akiwa analiaa

bensonjulius
Автор

Ibada muhimu sana kuna majeneza yame andaliwa kwa ajili yetu na hata alie tenge neza majeneza ana la kwake pia

AlifaHamis
Автор

Wa kwanza Leo jamani sijawai pata like tangu namba Moja paka ss nioneeni urumaa jaman vpenzi

JacklineMushi-cd
Автор

ila manyanya!et limbwata la Tanga na uko kwenu si ntakuwa msukule.upewe🎉🎉🎉🎉yako kaka uko vizuri

AdrianOmary-nlfs
Автор

Manyanya ni mwanaume na nusu sio kam wanaume wengine wakiwa na michepuko yao wana sema madhaifu ya wake zao BIG UP mr manyanya🤍🤍🤍

hazrarashidy
Автор

Vipi wenzangu wa mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 mpo kama kweli mpo tujuwane apo kwenye likes 🎉🎉🎉 naitwa Grande PiQui kutoka

GrandePiquiGrande
Автор

Umetisha kak manyanya 😅😅 unyama mwingi yan umetisha🎉🎉

abdulygilly
Автор

Adui wa mtu ni wa karibu yake mno jitaidy kusali sn ndg zangu kwa iman yako mwenyez Mungu anasikia🙏🏻🙏🙏

abdallahassan
Автор

Big up manyanya umenifurahisha sana kutokusema madhaifu ya mkeo good brother 👊

BASILChambo
Автор

Ila manyanya mkeo mjeuri ndio lakin hajawah kuchepuka kama unamwonea huruma Vai weka like hapa

nayraLimbega-zq
Автор

Wangap wanataman waongeze dakika man mov tamu sana big up acters wote

AminaKhalfani-ibsh
Автор

Mudy Muzungu, anastahili kulipwa hela nyingi.Anaigiza sehemu inayohitaji kujitoa ufahamu.

lukomanomaliki