Viongozi wa muungano wa One Kenya Alliance wafanya mkutano kupanga mustakabali wao wa 2022

preview_player
Показать описание
Viongozi wa mrengo wa One Kenya allaince leo wamekutana na kujadili mustakabali wao kuhusu uchaguzi wa mwaka wa 2022. Viongozi hao wakiwemo Gideon Moi, Musali Mudavadi, Moses Wetangula na Kalonzo Musyoka wamesema kuwa wanaazimia kutafuta umaarufu miongoni mwa wapiga kura kabla ya uchaguzi mkuu ujao. Gumzo kuhusu muungano wa NASA pia lilikuwepo huku viongozi hao wakisema kuwa NASA sasa ni historia itakayosalia kumbukumbu tu.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mutula Junior I respect you but huyo watermelon wako utapotea na kabisa, matumaini yenu nikwamba Uhuru aunge Mudavadi mkono nothing else, hata musalia akiungwa mkono na kamwana je ninyi vifaranga vya KANU watu bila maendeleo mtashinda Raila ama Ruto?

ayubsikoyo
Автор

New Kanu era..."Tingisha kidole!"

Mdavelevy
Автор

kimbia pekee yenu, mjue ODM hatuko na Nyinyi. 😆

denog.