Viongozi wa muungano wa OKA wakutana Naivasha

preview_player
Показать описание
Vigogo wa muungano wa One Kenya Alliance wako Naivasha kupanga mikakati ya kuimarisha muungano huo huku wakisisitiza kuwa wako tayari kushirikiana na yeyote katika azma ya urais mwaka ujao. viongozi hao wamefanya walidinda kuzungumzia suala la kinara wa ODM Raila Odinga kuwepo katika mkutano huo hapo kesho.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

God we pray that you will be God on Kenyans.

TheJoylen
Автор

Mombasa, Naivasha...next Nakuru may be...then Kisumu, back to Nairobi, proceed to Kirinyaga, Meru, Isiolo...na kuendelea...
Eti wanatafuta kusikilizana....what nonsense is this?
Kwani wakikutana Sagret hotel hawawezi ongea?
Wanatumia pesa gani juu hio haiwaumi?

franklinkibaara
Автор

OKA also known as Kura NNE. They stop the talks because hawana mwelekeo. Vyenye watagawana mamlaka? Ulafi.

ephabarusnjeru
Автор

Mdavadi hajawahi tukana mtu. Kwa hivyo watakao kua kwa debe 2022. Wawe na amani. Ni ushauli kidogo tu.

njorogewanjiku
Автор

Does it mean that these guys haven't yet had the opportunity and trust to agree and endorse one of them.? Bure Sana 🤣🤣

husseinabdullahi