Cyrus Jirongo:Muungano wa One Kenya utashirikiana na vyama vilivyo na maono sawa ya kudumisha umoja

preview_player
Показать описание
Kiongozi wa chama cha United Democratic Cyrus Jirongo amesema muungano wa One Kenya utashirikiana tuu na vyama vilivyo na maono sawa ya kudumisha umoja na ufanisi nchini.Jirongo ambaye ni mmoja wa viongozi wa muungano wa OKA alisema majadiliano yoyote baina ya muungano huo na vyama vingine yataangazia jinsi ya kuimarisha uchumi wa taifa hili na siyo nyadhifa za uongozi.Timothy Kipnusu,anatusimulia zaidi.
Connect with KBC Online;

#OneKenya #UnitedDemocraticParty#OKA #CyrusJirongo
Рекомендации по теме